TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Hivi sasa Mh.MNYIKA ANAHUTUBIA,ANADHIHIRISHA NAMNA gharama ya maisha inavyowasumbua wananchi kutokana na kukwama kwa kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya pamoja na maisha bora na hatimaye bora maisha,anasema hali hii mbaya iombewe isilete machafuko bali umma uandae mustakabali dhidi ya matatizo haya kuelekea 2015.TUTAZIDI KUPEANA TAARIFA