Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
- Thread starter
- #21
ULITAKA aandike kwenye magazeti ya ccm iliyo kufa bado kuzikwa mchana kweupe? au aende akatangazie ikulu ili magazeti na makamera ya muandike? MBOWE ni kamanda mpambanaji hahitaji kujinadi kwenye midia anawafikishia ujumbe wananchi moja kwa moja wananchi hawana imani na chama cha chukua chako mapema (ccm) habari ndiyo hiyoooooooooo, CHADEMA MKOMBOZI WA MTANZANIA WA HALI YA CHINIusiichukulie negative... point yangu ni kwamba habari hiyo ipo gazeti moja tu!!! ni ishara tosha kwamba uenezi kwa chadema unaanza kuchoka sio kama sangara ilivyoanza!!!
there are many ways to kill a man... i was delivering the message to CHADEMA kwamba uenezi wao umeishia zero grazing... na good analysists hawawezi weka mkazo kewnye gazeti la mbowe linaposifia mbowe
Time for change is passing by!!!