chama cha demokrasia na maendeleo kupitia kitengo cha bavicha wilaya ya tabora kimefanya mkutano wa hadhara eneo la kata ya mbugani, uliongozwa na makamanda kutoka chuo cha saut tabora .mkutano ulihutubiwa na makamanda wa chadema wakiongozwa na katibu mwenezi wilaya bw.Ally loice maarufu mwanafyale.pia aliyekuwa diwani wa kata itonjanda bw.moses singu.makamanda walopata nafasi ya kuhutubia ni mwakipesile,miho nafiwe,bw.saimon(m/kiti bavicha tabora),
agenda
ufunguzi wa matawi
elimu ya uraia na katiba
maadili ya viongozi na ubadhirifu wa mali za umma.
mafanikio.
wamefungua matawi na kusimika uongozi.
wamefungua wanachama wapya na walovua maga
general comments
"now pple are ready to change their mind"
kweli ndani ya chama kila mtu ni kichwa,they never wait for top leaders.
agenda
ufunguzi wa matawi
elimu ya uraia na katiba
maadili ya viongozi na ubadhirifu wa mali za umma.
mafanikio.
wamefungua matawi na kusimika uongozi.
wamefungua wanachama wapya na walovua maga
general comments
"now pple are ready to change their mind"
kweli ndani ya chama kila mtu ni kichwa,they never wait for top leaders.