Chadema yatakiwa kutotumia ofisi ya Meya kama 'Kijiwe'

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,892
32,308
Wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kutumia ofisi ya Meya wa Jiji la Mwanza kama 'kijiwe' wamesema ofisi hiyo iachwe itumikie wana Mwanza wote bila kujali itikadi ya vyama. wanashangazwa namna Chadema kinavyotumia vibaya ofisi hiyo kwa kufanyia vikao vyao vya ndani badala ya kutumia ofisi zao, Wananchi ambao si waufuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu kumuona Meya wa Jiji la Mwanza kwa ajili ya kuwatatulilia matatizo mbalimbali. Ofisi ile ni ofisi ya umma na si ofisi ya CCM, CUF, CHADEMA,
SOURCE:
MTANZANIA MEI 14. 2011
 
Wanatumia ofisi hiyo kuaanda mikakati ya kutatua matatizo na kero za wananchi.Kinyume na CCM ambayo imekua na inaendelea kutumia ofisi za serikali kuanzia Ikulu kama vijiwe vya CCM kujadili njinsi ya kuwaibia walalahoi.
 
Ukifika pale ofisi za jiji la Mwanza kuna usumbufu mkubwa kwa kweli kumuona Meya, kuna makundi ya wafuasi wa Chadema wengi wao kutoka maeneo ya Igoma, Nyakato, Mkuyuni, Bugando, Bugarika, wanaamkia ofisi za Jiji kushinda pale mpaka jioni wanafanya 'kijiwe' wanasubiri posho, bahati mbaya wanadhani sababu Meya anatoka Chadema basi ni haki yao kupitia pesa ya kula kila siku, wafanye kazi ndugu zangu Meya ana majukumu makubwa kwa wana Mwanza wote
 
kweli ccm wamechanganyikiwa, hawajui cha kuonge...wanatapata ooh kijiwe, hatumpati meya...mbona hawaseme jk kufanyia mikutano ya chama ikulu..
 
Wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kutumia ofisi ya Meya wa Jiji la Mwanza kama 'kijiwe' wamesema ofisi hiyo iachwe itumikie wana Mwanza wote bila kujali itikadi ya vyama. wanashangazwa namna Chadema kinavyotumia vibaya ofisi hiyo kwa kufanyia vikao vyao vya ndani badala ya kutumia ofisi zao, Wananchi ambao si waufuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu kumuona Meya wa Jiji la Mwanza kwa ajili ya kuwatatulilia matatizo mbalimbali. Ofisi ile ni ofisi ya umma na si ofisi ya CCM, CUF, CHADEMA,
SOURCE:
MTANZANIA MEI 14. 2011

Mbona CCM wanafanyia Vikao Vyao IKULU?
 
ukifika pale ofisi za jiji la mwanza kuna usumbufu mkubwa kwa kweli kumuona meya, kuna makundi ya wafuasi wa chadema wengi wao kutoka maeneo ya igoma, nyakato, mkuyuni, bugando, bugarika, wanaamkia ofisi za jiji kushinda pale mpaka jioni wanafanya 'kijiwe' wanasubiri posho, bahati mbaya wanadhani sababu meya anatoka chadema basi ni haki yao kupitia pesa ya kula kila siku, wafanye kazi ndugu zangu meya ana majukumu makubwa kwa wana mwanza wote


picha yako inaniacha hoi
 
Wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kutumia ofisi ya Meya wa Jiji la Mwanza kama 'kijiwe' wamesema ofisi hiyo iachwe itumikie wana Mwanza wote bila kujali itikadi ya vyama. wanashangazwa namna Chadema kinavyotumia vibaya ofisi hiyo kwa kufanyia vikao vyao vya ndani badala ya kutumia ofisi zao, Wananchi ambao si waufuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu kumuona Meya wa Jiji la Mwanza kwa ajili ya kuwatatulilia matatizo mbalimbali. Ofisi ile ni ofisi ya umma na si ofisi ya CCM, CUF, CHADEMA,
SOURCE:
MTANZANIA MEI 14. 2011
Kwa wanaomjua mwandishi wa gazeti hilo Mwanza, hawawezi kushangaa kwa habari hii, anachokitafuta ni sababu ya kuamkia asubuhi kwa mkurugenzi na gazeti ili apate kianzio cha wiki, ni fitna na uzushi, yeye mwenyewe haishi kujizungusha hapo, akiandika habari ya para tatu anapeleka gazeti akajikombe kwa Director, apewe vicent maisha yanaendelea, shame on him
 
Wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kutumia ofisi ya Meya wa Jiji la Mwanza kama 'kijiwe' wamesema ofisi hiyo iachwe itumikie wana Mwanza wote bila kujali itikadi ya vyama. wanashangazwa namna Chadema kinavyotumia vibaya ofisi hiyo kwa kufanyia vikao vyao vya ndani badala ya kutumia ofisi zao, Wananchi ambao si waufuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu kumuona Meya wa Jiji la Mwanza kwa ajili ya kuwatatulilia matatizo mbalimbali. Ofisi ile ni ofisi ya umma na si ofisi ya CCM, CUF, CHADEMA,
SOURCE:
MTANZANIA MEI 14. 2011

Aliyetamka maneno haya ni mjinga kwa kiasi kikubwa sana.Meya ni wa wananchi vikao vya ndani havinabudi kufanyiwa ndani ya ofisi hiyo kwani ndipo ilipo halmashahuri,mipango ya halmashahuri hainabudi kufanyika hapo.unataka watende kazi kama CCM ambao kazi yao ni kupanga hata mikutano midogo kwenye mahoteli makubwa ambayo hiyo ni matumizi mabaya ya fedha?Meya anayo ratiba yake kama ni wakati wa mkutano huwezi kuzuia kwa nilazima mambo mazuri yote yawe na mkakati na mipango mizuri.

Ulipoandika kijiwe nilidhani wanatumia offisi kufanya anasa na kupinga hadithi.kabla ya kusema ni vema ukatafakari kwanza,waandishi wetu wengine bwana fani imewapita kushoto.hao ndio waliosoma shule za Academy.
 
Ukifika pale ofisi za jiji la Mwanza kuna usumbufu mkubwa kwa kweli kumuona Meya, kuna makundi ya wafuasi wa Chadema wengi wao kutoka maeneo ya Igoma, Nyakato, Mkuyuni, Bugando, Bugarika, wanaamkia ofisi za Jiji kushinda pale mpaka jioni wanafanya 'kijiwe' wanasubiri posho, bahati mbaya wanadhani sababu Meya anatoka Chadema basi ni haki yao kupitia pesa ya kula kila siku, wafanye kazi ndugu zangu Meya ana majukumu makubwa kwa wana Mwanza wote

kama unachosema ndo ukweli, na mimi siungi mkono watu kufanya ofisi kuwa kijiwe. ila usije ukawa umedanganya!.
 
Wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kutumia ofisi ya Meya wa Jiji la Mwanza kama 'kijiwe' wamesema ofisi hiyo iachwe itumikie wana Mwanza wote bila kujali itikadi ya vyama. wanashangazwa namna Chadema kinavyotumia vibaya ofisi hiyo kwa kufanyia vikao vyao vya ndani badala ya kutumia ofisi zao, Wananchi ambao si waufuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu kumuona Meya wa Jiji la Mwanza kwa ajili ya kuwatatulilia matatizo mbalimbali. Ofisi ile ni ofisi ya umma na si ofisi ya CCM, CUF, CHADEMA,
SOURCE:
MTANZANIA MEI 14. 2011
wewe ritz acha mambo ya kibwege, mkuki kwa nguruwe, magamba wanakaa vikao vya kamati kuu kila siku pale ikulu, sio hilo tu wanatumia hadi magari ya serikali kufanyia kampeini na shughuli za chama mke wa kikwete alitumia hadi ndege ya serikali kufanyia kampeini za mume wake, mwanza inawauma sana sababu ulikuaa umezoea kwenda kuvizia vitenda pale imekula kwako mpaka baada ya miaka mitano pole.
 
Ukifika pale ofisi za jiji la Mwanza kuna usumbufu mkubwa kwa kweli kumuona Meya, kuna makundi ya wafuasi wa Chadema wengi wao kutoka maeneo ya Igoma, Nyakato, Mkuyuni, Bugando, Bugarika, wanaamkia ofisi za Jiji kushinda pale mpaka jioni wanafanya 'kijiwe' wanasubiri posho, bahati mbaya wanadhani sababu Meya anatoka Chadema basi ni haki yao kupitia pesa ya kula kila siku, wafanye kazi ndugu zangu Meya ana majukumu makubwa kwa wana Mwanza wote
Kuwepo kwa watu ofisini inamanisha ya kwamba ofisi inafanya kazi kutatua matatizo na kero za siku nyingi za wananchi ambazo CCM haikua inafanya lolote kuzitatua.Sasa umekuja uongozi unaojali watu hivyo wanajitokeza kwawingi.PEOPLES POWER!
 
NIKIONA SOURCE TU (mtanzania) BASI..............TANGU LINI MTANZANIA WAKAANDIKA JAMBO KWA MASLAHI YA TAIFA BADALA YA MASLAHI YA DINI NA CHAMA?.........HAYA NI MAJARIDA YALIYOKOSA SIFA ZA KUANDIKA MAMBO KM HAYO..

Wananchi wa Nyamagana Mkoani Mwanza, wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kutumia ofisi ya Meya wa Jiji la Mwanza kama 'kijiwe' wamesema ofisi hiyo iachwe itumikie wana Mwanza wote bila kujali itikadi ya vyama. wanashangazwa namna Chadema kinavyotumia vibaya ofisi hiyo kwa kufanyia vikao vyao vya ndani badala ya kutumia ofisi zao, Wananchi ambao si waufuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu kumuona Meya wa Jiji la Mwanza kwa ajili ya kuwatatulilia matatizo mbalimbali. Ofisi ile ni ofisi ya umma na si ofisi ya CCM, CUF, CHADEMA,
SOURCE:
MTANZANIA MEI 14. 2011
 
Huu ndio udhaifu wa watu wengi JF. Hivi chadema haitakiwi kukoselewa? Yaani mtu akileta changamoto watu wanamsakama yeye badala ya hoja.
Pia CCM kufanya upuuzi hakujustify chadema nao kuiga upuuzi. Hii lugha ya mbona CCM ni ya watu waliochoka kifikra. Tuwe wakweli pale kwenye tatizo badala ya kuanza ohh mbona CCM, haitasaidia chama.
 
Kwa wanaomjua mwandishi wa gazeti hilo Mwanza, hawawezi kushangaa kwa habari hii, anachokitafuta ni sababu ya kuamkia asubuhi kwa mkurugenzi na gazeti ili apate kianzio cha wiki, ni fitna na uzushi, yeye mwenyewe haishi kujizungusha hapo, akiandika habari ya para tatu anapeleka gazeti akajikombe kwa Director, apewe vicent maisha yanaendelea, shame on him

Siwapendi mwandishi, mhariri, mtendaji mkuu na mmiliki wa gazeti la Mtanzania. Hata hivyo hapa kuna hoja muhimu na wala watu wasiipotezee. Ile ni ofisi ya Meya na ni ya utendaji. Chadema kwa wingi wao wanapaswa kuwa na ofisi ya chama au ya diwani wao ambaye pia ni meya na huko ndiko wakusanyike na kujadili mambo yao ya siasa ili waachwe watu wenye shida za utendaji wapate huduma za hiyo ofisi ya Meya. lakini kwa jinsi walivyo wakaidi watakuja na maswali ya kifedhuli kama hilo la kwamba mbona vikao vya CCM vinafanyikia Ikulu bila kuelewa kwamba hapa kinacholalamikiwa ni kuvurugwa kwa shughuli za utendaji kutokana na kugeuza sehemu hiyo kijiwe.
 
Aliyetamka maneno haya ni mjinga kwa kiasi kikubwa sana.Meya ni wa wananchi vikao vya ndani havinabudi kufanyiwa ndani ya ofisi hiyo kwani ndipo ilipo halmashahuri,mipango ya halmashahuri hainabudi kufanyika hapo.unataka watende kazi kama CCM ambao kazi yao ni kupanga hata mikutano midogo kwenye mahoteli makubwa ambayo hiyo ni matumizi mabaya ya fedha?Meya anayo ratiba yake kama ni wakati wa mkutano huwezi kuzuia kwa nilazima mambo mazuri yote yawe na mkakati na mipango mizuri.

Ulipoandika kijiwe nilidhani wanatumia offisi kufanya anasa na kupinga hadithi.kabla ya kusema ni vema ukatafakari kwanza,waandishi wetu wengine bwana fani imewapita kushoto.hao ndio waliosoma shule za Academy.

(Slaa Fiancee) wewe upo mbali na Mwanza ujui shida wanazozipata wakazi wa Jiji la mwanza, unakimbilia tu kuita watu wajinga, muhandishi John Maduhu, karipoti hii habari kutokana na malalamiko ya wana Mwanza, Wananchi ambao si wafuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kumuona Meya wa jiji la mwanza kwa ajili ya kuwatatulia matatizo mbalimbali, yaani ofisi ya Meya imekuwa meeting place of jobless
 
(Slaa Fiancee) wewe upo mbali na Mwanza ujui shida wanazozipata wakazi wa Jiji la mwanza, unakimbilia tu kuita watu wajinga, muhandishi John Maduhu, karipoti hii habari kutokana na malalamiko ya wana Mwanza, Wananchi ambao si wafuasi wa Chadema na wale ambao hawana vyama wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kumuona Meya wa jiji la mwanza kwa ajili ya kuwatatulia matatizo mbalimbali, yaani ofisi ya Meya imekuwa meeting place of jobless

Unahangaika bure! Jamaa hamnazo na hawatakuelewa kaka.
 
avatar34266_1.gif

Photos speak more louder than words..... this avatar says a lot about you
 
Back
Top Bottom