CHADEMA yatajwa mgomo chuo kikuu...

ngoja niwaeleze ukweli.
Viongozi wakubwa wa DARUSO, rais, PM, Spika na naibu wake, wote ni wana-UVCCM wazuri, na hiyo UVCCM ndiyo iliyowaweka madarakani ft. Kamanda wa UVCCM, wilaya ya K'Ndoni na baadhi ya madiwani wa Ubungo, mke wa Steven Wassira na viongozi wa tawi la CCM-Abiyani...
Vikao vya kupanga mkakati wa kuwaweka vilifanyika restaurant moja pale Mikocheni 'B', inaitwa Dar Carnival sijui. Waliohudhuria walichukuliwa na Land Cruiser Hard Top kutoka Campus na Mabibo Hostel mpaka eneo la tukio, miksa kipupwe cha kutosha.
Suala la uhusiano kati ya mgomo na CDM sijui unakujaje, wakati wafukuzwa wakubwa ni wadau wa gambaz?
Sijui...

kama hali hiko hivi mbona wanapiga sarakasi za ajabu ajabu..kumbe hiki kigazeti chao kiko kitengo cha propaganda.
 
mkuu si unakumbuka mgogoro wa kufunga vyuo kipindi kile cha uchaguzi ili wasomi wa vyuo vikuu wasipige kura.

Walidhani ni njia mbadala ya kujipatia ushindi but haikuwasaidia bali msaada ukatoka kwa tume ya uchaguzi
 
kukatza watu wasidahiliwe chuo kingine chochote,kisa wamefukuzwa chuo kikuu cha Dar es salaam ni ukatili wa aina yake,hawa jamaa ukikwazana nao wanaweza kukufutia ata uraia.

Watakomalia maovu yote ila iko siku haki itasimama na wataumbuka
 
Mwisho wa ubaya ni aibu that is what im waiting siku ya aibu kwa hii ccm inayotunyanyasa na kutukandamiza
 
Mwisho wa ubaya ni aibu that is what im waiting siku ya aibu kwa hii ccm inayotunyanyasa na kutukandamiza

kila kukicha wanazua ukatili mpya na wa aina yake..yaani hatujui kitatokea kipi hadi kufika 2015..
 
kama hali hiko hivi mbona wanapiga sarakasi za ajabu ajabu..kumbe hiki kigazeti chao kiko kitengo cha propaganda.

ukweli ni kwamba CCM ina wenyewe, kama alivyosema yule Katibu wa Uenezi na Itikadi,
hao wengine wanatumika kama tissue, na kutupwa matumizi yao yanapokwisha. Hata hao unaowasikia huko mjini, pamoja na umasikini wao wa kutupwa, bado wanashabikia CCM, hawajui kuwa wanatumika na 'wenye uhai' wachache.
 
ukweli ni kwamba CCM ina wenyewe, kama alivyosema yule Katibu wa Uenezi na Itikadi,
hao wengine wanatumika kama tissue, na kutupwa matumizi yao yanapokwisha. Hata hao unaowasikia huko mjini, pamoja na umasikini wao wa kutupwa, bado wanashabikia CCM, hawajui kuwa wanatumika na 'wenye uhai' wachache.

kamaa viongozi wa DARUSO wengi wao ni ccm damudamu lakini bado wamefukuzwa kama mbwa mwizi basi ccm ina wenyewe.
 
Nimeshangazwa sana habari hii iliyopewa uzito wa juu na kukolezwa wino kwenye Gazeti la CCM (uhuru) leo..
Gazeti ili linadai lime wahoji wasomi hao, nanukuu "siri ya mgomo wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (udsm) imefichuka ,ikidaiwa unachochewa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA.
Madai hayo yalitolewa jana na baadhi ya wanafunzi wanaondelea na masom chuoni hapo, waliodai kuna wabunge viongozi wa chama hicho wanachochea mgomo
walidai wamekuwa wakipandikiza chuki kwa
 
lakini mkuu, kipindi kile cha uchaguzi na baada ya uchaguzi kuwapata viongozi wa DARUSO mbona habari hizi hazikufahamika hata kidogo?

sifahamu aisee!
Ila what I knew ni kuwa wanafahamiana, ikawa rahisi ku-observe loyalty kwao. Kama unamfahamu Mongate, alinunuliwa siku mbili kabla ya uchaguzi, kwa garama ya ShT. 70'000/=. Wale wengine walikuwa wana-CCM waadilifu toka kale.
 
sifahamu aisee!
Ila what I knew ni kuwa wanafahamiana, ikawa rahisi ku-observe loyalty kwao. Kama unamfahamu Mongate, alinunuliwa siku mbili kabla ya uchaguzi, kwa garama ya ShT. 70'000/=. Wale wengine walikuwa wana-CCM waadilifu toka kale.

nakumbuka kipindi kile cha kampeini za uchaguzi,kijana mmoja (mpinzani mkuu wa kilawa kutoka law)alizushiwa kuwa ni uvccm hadi akajieleza na kujibu tuhuma hizo..kwa hali hii hawa vijana walioko madarakani (DARUSO) walipandikiza chuki hizi kwa maslai yao..
 
Ifikie kipindi ungozi wa chuo na serikali husika, wakae chini ili kutatua matatizo ya wanafunzi, haiwezekani migomo kila sku, kuna tatizo tena kubwa! inasikitisha sana kila siku wanafunzi wamefukuzwa chuo je tutafika? hata mkuu wa chuo kama si shinikizo basi nae achunguzwe vizuri.wanafunzi wataendelea kufukuzwa hadi lini, wakidai haki wanafukuzwa, kwa nini wabunge wakidai kuongewa posho hawafukuzwi? naomba nijibiwe au kuelimishwa, inaskitisha sana ndugu zangu
 
its a game of opportunity, wakikuhitaji wanakulambalamba. Wasipokuhitaji, you're pissed off negro...

hivi hawa vijana wanaonunulika kwa sh.70,000 wanaweza kweli kupigania maslai ya wengi.mimi nilishangazwa na hawa viongozi..pindi wale vijana wanafukuzwa walikaa kimya kabisa kama vile hawapo..eti wanaibuka juzi na kupitisha mgomo kiajabuajabu kabisa, baadhi ya wanafunzi wakashangazwa na hali hii,sijui ndizo hizo influence kutoka nje..
 
Back
Top Bottom