Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
- Thread starter
- #81
ngoja niwaeleze ukweli.
Viongozi wakubwa wa DARUSO, rais, PM, Spika na naibu wake, wote ni wana-UVCCM wazuri, na hiyo UVCCM ndiyo iliyowaweka madarakani ft. Kamanda wa UVCCM, wilaya ya K'Ndoni na baadhi ya madiwani wa Ubungo, mke wa Steven Wassira na viongozi wa tawi la CCM-Abiyani...
Vikao vya kupanga mkakati wa kuwaweka vilifanyika restaurant moja pale Mikocheni 'B', inaitwa Dar Carnival sijui. Waliohudhuria walichukuliwa na Land Cruiser Hard Top kutoka Campus na Mabibo Hostel mpaka eneo la tukio, miksa kipupwe cha kutosha.
Suala la uhusiano kati ya mgomo na CDM sijui unakujaje, wakati wafukuzwa wakubwa ni wadau wa gambaz?
Sijui...
kama hali hiko hivi mbona wanapiga sarakasi za ajabu ajabu..kumbe hiki kigazeti chao kiko kitengo cha propaganda.