Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
- Thread starter
- #21
kama ndiyo basi wakubali kumbe chadema ilishinda kwani huwezi ukawa na ushawishi wa kila sehemu kama hukubariki waipishe iongoze nchi.....
mkuu si unakumbuka mgogoro wa kufunga vyuo kipindi kile cha uchaguzi ili wasomi wa vyuo vikuu wasipige kura.