Soma sainecha yangu....inaujumbe mzuri sana kwa pro-ccmukimwambia nape anasema eti si kweli,hakuna kitu kibaya kama uwe hujui,alafu hujui kama hujui
Asante CDM ukombozi unakaribia bado kusini mjafika ni mda muafaka wakufika huko
Hana tofauti na yule waziri wa Saadam, Al Sahaf ambaye alibisha mpaka alikuja chomolewa chumbaniukimwambia nape anasema eti si kweli,hakuna kitu kibaya kama uwe hujui,alafu hujui kama hujui
WanaCCM waliohama kwenda upinzani wenye majina ndani ya CCM kama Diwani n.k. hesabu yao haizidi sita (6) "by Nape"
Mkuu Molemo, naomba kujuzwa hii pwani iko wapi bila shaka itakuwa kazikazini..
WanaCCM waliohama kwenda upinzani wenye majina ndani ya CCM kama Diwani n.k. hesabu yao haizidi sita (6) "by Nape"
Nooooo! Mkoa wa Pwani upo Kenya
...sioni mantiki ya kuifurahia statement hii, kwa mazuri yepi ya Kikwete, kiasi ushangilie Kikwete kuwa na kadi ya CDM? hatutaki kuhamishiwa wezi kutoka CCM kwenda CDM!Bado familia ya Kikwete maana najua yeye Kikwte ana kadi ya chadema....
Sasa ccm wanacheza ngoma ya cdm. Nape endelea kuwaroga ccm ili wasione ukweli.
Wimbi limalotikisa nchini kwa sasa la wanachama wa CCM kukimbilia CHADEMA limeingia Mkoani Pwani ambapo wanachama 250 wa CCM katika kijiji cha Mkoko, kata ya Msata, wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, wamekihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA wakati wa operesheni ya kutembelea vijiji inayofanywa na viongozi wa chama hicho.
Katibu wa CHADEMA Jimbo la Chalinze Gasper Shoo alisema kuwa wanachama hao wa CCM walijiunga na upinzani Mei 12 wakati wa operesheni hiyo iliyoongozwa na viongozi wengine wa jimbo.
"Katika operesheni yetu tuliyoifanya Mei 12 mwaka huu wanachama wa CCM 250 wamekihama chama chao na kuingia CHADEMA wakiwa na lengo moja tu la kuunga mkono viongozi wa taifa wanaopambana na ufisadi na kupigania maendeleo katika maeneo mbalimbali hapa nchini," alisema Shoo.
Aidha aliongeza kusema kuwa wataendelea na ziara yao hasa maeneo ya vijijini ambayo CCM wamekuwa wakijivunia kupata kura nyingi kutokana na baadhi yake kutofikiwa kwa muda mrefu na viongozi wa CHADEMA.
Mkoa wa Pwani umekuwa ni ngome kuu ya CCM kwa muda mrefu lakini sasa ngome zake zinaanza kusambaratishwa vibaya na CHADEMA hali inayohatarisha uhai wa chama hicho kwa siku za usoni.
Source:Tanzania Daima Ijumaa
Bado familia ya Kikwete maana najua yeye Kikwte ana kadi ya chadema....
Unamaanisha Nape ni CDM au CCJ? Yupo pale kwa kazi maalum!
Masikini Chama Cha Mapinduzi!!!!!!!!!!!!!!!!