Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
CHADEMA jana iliibuka mshindi katika kiti cha udiwani kata ya daraja mbili kwa kura 2193 dhidi ya ccm iliyopata kura 1324,huku CUF 162,NCCR MAGEUZI 22 NA TLP 42
Hata hivyo katika kata ya Bangata Mgombea wa CCM alipata ushindi .
Hata hivyo katika kata ya Bangata Mgombea wa CCM alipata ushindi .