Chadema yashida wenyekiti wa kijiji ruaha.

Mr.Busta

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
672
99
Baada ya msuguano wa mda mrefu wa ccm kugoma kuitisha uchaguzi,huku wakitumia mbini chafu kuhakikisha wanafanikiwa kuongoza kijiji cha ruaha kata ya ruaha hatimaye wamesarenda na kuitisha uchaguzi ambao wajumbe walihusika kumchagua mwenyekiti na hatimaye BW.MALIWA WA CDM ameshinda hvyo anasubiria kujakudhibitishwa kwa wananchi na kuapishwa.source.mwenyewe niko kilombero
 
lililo andikwa na MUNGU binadamu hawezi kulibadili.kuhangaika kote kule bado ccm chali, MUNGU mkubwa.
 
hahahaha....mtaishia kuramba mifupa ya mapaja, sasa hapo kupata mmeona mmekula kuku?

Yani chadema kuna v i l a z a kweli.
 
Mmetisha CDM vipi nani alikwenda huko Mnyika?

Hivi wewe ndiye mama Mingoi aliyeimbwa na Twanga pepeta? Ulikuwa unakata kiuno si mchezo pale Joly Club! Ila sijakuona tangu mwenzio Shenaz kufariki. Upo wapi siku hizi!?
 
Hata tofali limeundwa kwa mchanga mmoja mmoja. Huyu mwenyekiti wa kijiji kwetu ni mtaji tena wa maana sana na anatuhakikishia kura zetu hapo Ruaha kwenye chaguzi zijazo. Hongera saaaana BW.MALIWA, endelea kuwaamsha wanakijiji huko waamke waachane na hii laana ya ccm. Pipoooooooooooooooooooooozz---Pawaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama kuna kitu nakithamini katika uchaguzi ni huu wa ngazi ya chini kabisa. Ukiona chama kianapata wenyeviti wa vitongoji na vijiji ujue kimesha break even. Huu ushindi unamaana kuwa hata kura za uraisi na ubunge za cdm zitakuwa nyingi zaidi! Anayebeza ushindi huu hajui siasa, kawaulize kinachowafanya ccm washindwe kulala kwa sababu ya m4c! Ccm walijua chadema ni chama cha mjini hakiwezi kufika vijijini ambako wao wamewekeza ujinga kwa faida yao. Leo hii ngoma imegeuka chadema inapenyeza sehemu ambazo hawakutarajia. Na ndiyo maana ccm sasa hawataki nadhani wako tayari waruhusu M4C mjini lakini siyo vijijini maana huko ndo wamewekwza ujinga kwa faida yao!

Hongere kamanda ulichaguliwa!
 
Back
Top Bottom