Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
- Thread starter
- #21
"CCM ni kama panya. Mtu ukiwa haupo nyumbani panya huingia mpaka sebukeni. Ila mwenye nyumba anapokuja mapnya hukimbia sebuleni na kuingia uvunguni na maeneo mengine ya nyumba. CHADEMA ndio mwenye nyumba na yuko nyumbani kwa hiyo mapanya yamekimbia sebuleniu kuelekea uvunguni.
Kwamba sebule ni majimbi yote ya mjini kama mwanza, Arusha, Mbeya , Ubungo, Kawe, Moshi Iringa na sasa inaingia mpaka uvunguni yaani majimbo ya vijijini kumsakanya panya. Operesheni sangara inayoendelea Morogoro na mikoa ya Iringa, Dodoma, na Manyanya kukijenga chama ni sawa na kumtimua panya uvunguni."
Kauli ya kumalizia ya Anthony Komu.
Kwamba sebule ni majimbi yote ya mjini kama mwanza, Arusha, Mbeya , Ubungo, Kawe, Moshi Iringa na sasa inaingia mpaka uvunguni yaani majimbo ya vijijini kumsakanya panya. Operesheni sangara inayoendelea Morogoro na mikoa ya Iringa, Dodoma, na Manyanya kukijenga chama ni sawa na kumtimua panya uvunguni."
Kauli ya kumalizia ya Anthony Komu.