Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Chadema mbona amueleweki huyo Tundu Lissu anasema Tanzania hakuna majaji, sasa hiyo tume ya nini, halafu mbona Chadema hawapingi sensa.
Tundu Lissu wa Chadema amesema baadhi ya majaji na amewataja kwa majina.
Sasa huyo wewe unayemrefer bila shaka ni Tundu Lisu wa magamba ambaye hajui chochote kuhusu sheria za nchi yetu, labda anajua sheria za ccm.