CHADEMA yapinga kuundwa tume kuchunguza tukio la Dk Ulimboka

Lazima wapinge wataachaje kupinga wakati wao ndio wamepanga mgomo na wao ndio waliomteka Dk Ulimboka kumpiga na kumtesa kwa manufaa yao ya kisiasa

Sasa lazma wahofie uchunguzi huru ambao utawabainisha wao

Ama kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza MAGAMBAGWANDA wakubwa nyie

Ni kweli GAMBA+GWANDA=GAMBAGWANDA/GwaMba.
Wanatufunga macho na masikio, kwa unyonge wetu wa kukosa uji. Tunashindwa kufikiri, tunafuata hisia zetu, hisia kutokana na shida zetu! Wanatuaminisha kutupa asali hali wao ni manyigu!
Mungu wetu yu hai, anaita sasa!
 
Chadema kuweni makini na kauli zenu.
Kwa kauli hiyo mnatuhakikishia kuwa, wakati mtakapo chukua nchi hakuta kuwepo na mgomo wa watu kudai maslahi yao?
 
mimi nawashangaa sana watanzania. tunafaham kwa muda mrefu sasa kwamba hawa waliojiweka madarakani kwa hila ni majambazi, wauwaji na majizi, hawana roho ya utu hata kidogo. kikatiba sisi wananchi tuna nguvu, uwezo na haki ya kufutilia mbali takataka hii, mijizi na miuwaji hii, isiyo na hata chembe ya utu. mauwaji ya ffu yalotokea leo tegeta ilikuwa ni mwanzo mzuri wa kuuwa maghaidi wote, kuanzia polisi hadi kwa dhaifu mmoja hivi. yaani akionekana kwenye tv yangu huwa nazima mara moja.
 
Nakataa kuundwa kwa tume ya kuchunguza ukatili dhidi ya Dk. Ulimboka. Huko ni kuficha ukweli. Serikali inayotuhumiwa ndiyo inajichunguza yenyewe!? Nawalaani sana mashetani haya yanayoongoza serikali yetu.
 
tume tume kila siku tume kazi ya polisi wapelelezi ni nini?

Umesoma ujumbe wote? Umeshaambiwa common sense inasema mtuhumiwa hawezi kujichunguza. Polisi wetu ni sehemu ya mtuhumiwa (suspect)!!!!! Hivi ni kweli hamuelewi? au tu basi mnaamua kuwa vichwa maji kupoteza muda/kujaza forum hii?
 
Maji yanapowafika shingoni, ni lazima ijulikane ni nani na kwanini.
 
Mengi yaliyosemwa ni mazuri sana na naunga hoja mkono mia kwa mia,Ila kingine yale makubaliano yaliyo fikiwa awali kati ya Madaktari na serekali yapelekwe bungeni na yajadiliwe na wabunge serekali iseme imefikia wapi na madaktari waseme yao,hapa tutajua nani mwenye makosa kama nimadaktari wachukuliwe hatua zote kali kama niserekali tujue itawajibika vipi na kama niserekali na imeshindwa iachie wenye uwezo wa kuyatekeleza.

Hii issue ya madaktari imekuwa handled vibaya sana hasa kwa upande wa serikali. Nadhani sababu kubwa ni kuwa nchi yetu inaendeshwa kwa mazoea na kwa bahati mbaya viongozi hawajui hali halisi, hawajui au hawataki kukubali kuwa watanzania wa leo sio wa jana. Utoaji wa huduma za afya hapa nchini umekuwa unazorota mwaka hadi mwaka kiasi kwamba watu wanapishana airport kwenda India. Tanzania inaongoza barani Africa kwa kupeleka wagonjwa wengi India. Hii sekta hatujaipa uzito unao stahili na hata kwenye bajeti ya serikali mwaka huu Afya haimo kwenye list ya vipaumbele!

Hata hivyo, jambo ambalo bado naona litakuja kuzua mjadala ni kitendo cha Spika kupokea report ya kamati ya bunge na kimya kimya! Hii kamati ilIsafiri kuja Dar wakati wa mgomo wa kwanza na kuongea na pande zote mbili (madaktari na serikali) na ilitegemewa wangewasilisha report yao bungeni ili ijadiliwe kwa kina na kupata ufumbuzi wa kudumu. Badala yake Spika akapokea report na kukaa chini na serikali! Haya ni makosa makubwa na yatamrudi yeye Spika kwa sababu kama jambo lilikubaliwa bungeni kwa nini aamue kulifanyia kazi peke yake? Na sasa mgogoro umerudia pale pale na mbaya zaidi Kiongozi wa jumuiya ya madaktari yuko ICU!
 
Tukio la kuuwawa kwa mtalii Serengeti mbona limefanyika bila tume? Kwa maana hiyo wananchi wachukulie kwamba Jeshi la polisi Tanzania lina ujuzi wa kufuatalia mauaji ya wazungu peke yake?

Polisi ni watuhumiwa katika jaribio la kumuua Dr. Ulimboka, tofauti na mauaji ya Wazungu ambapo Polisi hawakuwa watuhumiwa
 
Back
Top Bottom