Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Wakuu,
Kamanda Rogers Luhega,aliyekuwa mugombea ubunge jimbo la Geita 2010 kwa tiketi ya CDM,katibu wa BAVICHA wilaya ya Geita bwana Vicent Paulo maarufu kwa jina la Dear Mama,diwani wa kata ya Kasamwa kupitia CDM bwana Mahenge na makamanda wengine wameamua kupiga kambi ya mwezi mmoja kutoa elimu ya uraia katika vijiji vyote vya jimbo la Nyang'hwale ambapo leo walikuwa katika kijiji cha Bukwimba wamefungua tawi na watu 105 walirudisha kadi za CCM na kujiunga na CDM,kesho watakuwa kijijini Karumwa.Nitaendelea kuwajuza zaidi kuhusu operation hiyo bila kusahau picha.Hakuna kulala mpaka kieleweke.
UPDATES.
Muda huu makamanda wanapita kila kitongoji hapo kijijini Bukwimba kusikiliza kero mbalimbali toka kwa wananchi ili ziweze kuwasilishwa panapohusika kwa utatuzi,baada ya hapo safari kuelekea kijijini Karumwa itaanza.
Kamanda Rogers Luhega,aliyekuwa mugombea ubunge jimbo la Geita 2010 kwa tiketi ya CDM,katibu wa BAVICHA wilaya ya Geita bwana Vicent Paulo maarufu kwa jina la Dear Mama,diwani wa kata ya Kasamwa kupitia CDM bwana Mahenge na makamanda wengine wameamua kupiga kambi ya mwezi mmoja kutoa elimu ya uraia katika vijiji vyote vya jimbo la Nyang'hwale ambapo leo walikuwa katika kijiji cha Bukwimba wamefungua tawi na watu 105 walirudisha kadi za CCM na kujiunga na CDM,kesho watakuwa kijijini Karumwa.Nitaendelea kuwajuza zaidi kuhusu operation hiyo bila kusahau picha.Hakuna kulala mpaka kieleweke.
UPDATES.
Muda huu makamanda wanapita kila kitongoji hapo kijijini Bukwimba kusikiliza kero mbalimbali toka kwa wananchi ili ziweze kuwasilishwa panapohusika kwa utatuzi,baada ya hapo safari kuelekea kijijini Karumwa itaanza.