democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
"Kishida shida" huku Mwenyekiti anaenda mkutanoni na VX 8 sita!
tupia picha
"Kishida shida" huku Mwenyekiti anaenda mkutanoni na VX 8 sita!
Ohio cha mtoto siku hizi, mambo yapo Meeda sinza, kuna totoz za maana mwananguHabari yako haina source imeka kama wale madada poa wa ohio!
kwani kuna ubaya gani ...?
Ushawahi kuchomoa totoz mitaa hiyo?Vp dau lao per nite men?Ohio cha mtoto siku hizi, mambo yapo Meeda sinza, kuna totoz za maana mwanangu
Sawa ndugu hilo linaonekana limekugusa, je sabodo nae ni mkristu?mbona waislam wakiichangia cdm hamsemi?
Hivi kuna chama chenye udini nchi hii kama CCM?! Hujasikia kuwa wamekubali mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba mpya!chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
Hivi vyama vyetu vya siass si vinapewa ruzuku na serikali ili vijiendeshe? Sasa hii misaada toka kwa wakoloni ya nini?
CDM ni chama cha askofu leizer na malasusa
Huu nao ni upuuzi mwingine...una orodha ya waliopelekwa ujerumani??chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
Unaweza kutuambia ni wapi hiyo kitu imeandikwa?chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
kwani kuna ubaya gani ...?
chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
Serikali ya CCM si inakusanya kodi, mbona mwenyekiti kutwa kucha yupo kwa wakoloni kuomba vyandarua?