chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
Ewe Mwenzetu MkiGoma,
Kwa kweli ninakushukuru mno kwa kutuletea taarifa hii njema ya CHAMA CHETU CHA WALALAHOI kubarikiwa japo ka-msaada toka huko ulikokutaja weye.
Kimsingi, kwa kuwa CHADEMA ndio kama hivo tunakijenga ki-shida shida hivo hivo, si sawa na vile VYAMA MATAWI YA CCM nchini, kwa kweli bado tunaomba sana misaada iongezeke kwa faida ya walalahoi wa nchi hii kupata utetezi uliotukuka bila ubaguzi wa rangi wala wa kidini.
Hivyo, huko unakotembea wewe mwenzetu chonde kawaambie nao Budhist Democratic Union, kama wapo, nao wakatuletee misaada mingine maana ndani ya nchi hii kila kitu CCM kishatafuna na MAFISADI wake mahiri ile mbaya.
Mwenzetu, endapo utakutana hata na Hinduist Democratic Union popote pale walipo nao kawaambie kwamba CHADEMA chama cha Walalahoi wa nchi hii tunahitaji misaada yao kujenga wigo mpana na imara wa ki-demokrasia kwa wote ndani ya nchi hii.
Asante sana kwa kutuletea hiyo taarifa murua wa misaada kwetu; nilikua sijaipata bado.
Hivi vyama vyetu vya siass si vinapewa ruzuku na serikali ili vijiendeshe? Sasa hii misaada toka kwa wakoloni ya nini?
Haya tuambie chama chenu kilipokea msaada toka wapi wa kuendesha ugaidi na kuchoma makanisa na kuchoma moto shule zinazo milikiwa na makanisa au unafikiri hatujui dhamira yenu?
Hivi kuna mtu aliyeuza nchi kuliko Kikwete? Hujasikia wewe Mtanzania uliyezaliwa ndani ya nchi unaitwa mtu wa pembezoni? Mtu aliye ndani ya mduara wenye shamba kubwa na utajiri ni mzungu mwekezaji.CHADEMA sasa mnakomba kila aina ya misaada pasipo kujali itikadi ya mtoaji. Conservative nao misaada yao ikiambatana na masharti ya kushabikia ndoa za mashoga MNAKULA MISAADA YAO. Hiki chama cha CDM hakina nia nzuri na watanzania, msimamo wenu ni kuuza nchi yetu kwa gharama yeyote
chama kinachotawala nchini ujerumani CDU ambacho msingi wake mkubwa ni kuwaunganisha wakristo Duniani, ili kupambana na uislam, kimetoa msaada wa fedha na mafunzo kwa vijana wa chadema 50 ambao waliondoka juzi kuelekea nchini humo.
Halafu wanakataa wao sio wapinga dini.