hiyo gari ni kwa ajili ya kubebea nguruwe.
Usiponde,hata kama la kuebea ulichosema poa tu ,our aim is M4C itakapofanikiwa even u will benefit on it.TUMEONEWA VYA KUTOSHA,TUMENYANYASWA VYA KUTOSHA SASA TUNATAKA MAPINDUZI/MABADILIKO.
hiyo gari ni kwa ajili ya kubebea nguruwe.
hiyo gari ni kwa ajili ya kubebea nguruwe.
I hope ndugu zake TZ hakuna anaye angaika kujiendeleza kimaisha.
Hii mimi inanihusu vipi??? Dr. Kipeng'ele aliuliza hii ni gari gani? Mimi nikamjibu ni Chevrolet Suburban. Hapo nimeongea wapi kwa hisia au ushabiki!!??? Acha kukurupuka bila kuelewa maandishi yana maana gani.Watanzania tunapenda sana kuongea kwa hisia, kuna yeyote kati yenu mwenye kujua hiyo gari ina tatizo lolote katika injini yake au body yake? Au kwa vile wengi mmezoea RAV4, Suzuki, Subaru, Xtrail, n.k; basi gari lolote lisilo na umbile linalofanana na hayo ni bovu?
GARI gani linatumia site mirror moja?
kwanini wamepiga picha moja?
Hivi hii ni aina gani? toyota, harrier, benz?
Usiponde,hata kama la kuebea ulichosema poa tu ,our aim is M4C itakapofanikiwa even u will benefit on it.TUMEONEWA VYA KUTOSHA,TUMENYANYASWA VYA KUTOSHA SASA TUNATAKA MAPINDUZI/MABADILIKO.
Chadema imezidi kujiimarisha hadi nje ya mipaka ya Tanzania baada ya mwanachama mpya Hussein Msabaha kukabidhi
gari tawi la washington DC ili liweze kutumika kwa ajili ya kuwafikia watanzania wapenda mabadiliko wanaoishi Marekani.
Hongera watanzania munaotambua nyakati na kutambua wajibu wakila mtu kuleta mabadiliko katika taifa letu.
Bofya hapo chini ujisomee mwenyewe
Blog: VIJIMAMBO
Post: TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC LAKABIDHIWA GARI NA MDAU HUSSEIN KAUZELA MSABAHA
Link: VIJIMAMBO: TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC LAKABIDHIWA GARI NA MDAU HUSSEIN KAUZELA MSABAHA
kweli Magwandammepotea kwa gari ambalo litafanya watu wachangie kila siku kwenye mikutano ili liende garage.fikirieni kuhusu hasara na sio kufungua tawi lisilo na Mantiki yote katika chama.kwani wapiga kura wapo Tanzania.
Hizo gari si bure tu USA, huyu jamaa kawatusi kweli kweli.
Hii gari inaelekea ilitumika kwenye vita ya pili ya dunia. Imekomaa kama binadamu, looh. Mi nikipanda humo naugua Typhoid, Malaria, Kifua Kikuu na Fangasi.
Nenda nawe ukapewe bure
Duhhh, hili bao la nguvu.hiyo gari ni kwa ajili ya kubebea nguruwe.