Elections 2010 CHADEMA Yapeta Mpanda mjini; Yarudisha majimbo yake yote except 1!!

hebu niambieni kama ninachukua kinywaji toka kwenye fridge na kujipongeza au naenda kulala:A S angry:
 
uhanzi mkuu sijakuchanganya ila hapa mpanda ndio tume wanachanganya watu mara waseme hiki mara kile,ila kwa uhakika kabisa mpaka sasa hawajatangaza matokeo rasmi ila pale mwanzo mambo yote yalikua tayar,nafatilia kwamakini usilale nitakupa kila kinachoendelea,nipo nje yamakao makuu yatume yajimbo,nafatilitia kwa karibu sana

Mwera kuna sehemu huko nimesoma jamaa anasema CCM ndo ameshinda, si inamaana yeye kapata taarifa rasmi za tume ya uchaguzi? du silali kaka wewe tupashe hata kama ni habari mbaya
 
quote_icon.png
Originally Posted by omunga
sina data jamani,laleni salama


How can we lala salama wakati unatuchakachulia habari, please ushauri wa bure next time kama hauna please please post on the jokes forum
 
Kama habari ninazozisikia ni sahihi basi Arfi ameshinda kwa zaidi ya kura 3000 na dakika yoyote atatangazwa mshindi.. mamia ya watu wameanza kusherehekea...
 
Kama habari ninazozisikia ni sahihi basi Arfi ameshinda kwa zaidi ya kura 3000 na dakika yoyote atatangazwa mshindi.. mamia ya watu wameanza kusherehekea...

Mwanakijiji, hii habari inamchanganyiko sana, kwanza tuliambiwa CDM wameshinda kwa kura 607 (ameandika Kitila akimnukuu Zitto) then tukaambiwa CDM kashinda kwa kura 67 tu kulingana na mwera, baadaye mwingine akasema wamekurupuka CCM ndiye ameshinda sasa nawe waja na hii tema mhhhhh, sipati hata usungizi nikihangaika hapa na pale kujua ukweli. wakati pia zitto kule kwa facebook yake ameripoti kuwa CDM wameshinda. Je unaweza kutujuza zaidi?
 
Mwera kuna sehemu huko nimesoma jamaa anasema CCM ndo ameshinda, si inamaana yeye kapata taarifa rasmi za tume ya uchaguzi? du silali kaka wewe tupashe hata kama ni habari mbaya
hakuna matokeo rasmi mpakasasa,na mdahuu kunamvua kubwa sanasana inanyesha sina hata pakujibanza narowana namvua,na police nao wanaanza kuharas watu ili watawanyike wamtangaze mgombea wao wa ccm,ila peoples power imesimama imara,hawaogopi lolote, mvua wala police.
 
hakuna matokeo rasmi mpakasasa,na mdahuu kunamvua kubwa sanasana inanyesha sina hata pakujibanza narowana namvua,na police nao wanaanza kuharas watu ili watawanyike wamtangaze mgombea wao wa ccm,ila peoples power imesimama imara,hawaogopi lolote, mvua wala police.

kaka poleni lakini kuna habari nyingi mno mpaka zinatisha, asante kwa kulinda kura zetu, sisi kawe tulilinda siku mbili msichoke usiku mmoja tu! tuko pamoja
 
Huku mvua ikinyesha na wananchi zaidi ya elfu mbili wakiwa wanasubiri nje ya majengo ya ofisi ya Mkurugenzi na baada ya marudio ya kujumlisha kura zote kufanyika, Mgombea wa Chadema Bw. Arfi anaonekana kushinda kwa kiasi hicho cha kura na wakati huo huo mgombea wa CCM ameondoka humo ndani akikataa kutia sahihi kukubali matokeo.

Wananchi wanazidi kuelekea hapo wakitia msisitizo kuwa matokeo yatangazwe, Arfi yuko ndani, na wakati wowote Mkurugenzi ameahidi kutangaza. Kwa sasa habari ndiyo na nimezungumza na sources ndani kabisa ya mchakato wa kuhesabu kura na nje ya watu wa Chadema...
 
kaka poleni lakini kuna habari nyingi mno mpaka zinatisha, asante kwa kulinda kura zetu, sisi kawe tulilinda siku mbili msichoke usiku mmoja tu! tuko pamoja
watu hapa wako ngangari kinoma hatuondoki mpaka kieleweke,ila kwahakika inaonekama kuna power kubwasana inatumika hapa mambo yabadilishwe,wanachakachua nakuna fununu kuwa mzeepinda yupo kwasiri ili akamilishe kazi,mpaka jion inasemekana alikua dodoma ila sasa naskia yupo wanafos wamtangaze mtu wao wa ccm.
 
uhanzi mkuu sijakuchanganya ila hapa mpanda ndio tume wanachanganya watu mara waseme hiki mara kile,ila kwa uhakika kabisa mpaka sasa hawajatangaza matokeo rasmi ila pale mwanzo mambo yote yalikua tayar,nafatilia kwamakini usilale nitakupa kila kinachoendelea,nipo nje yamakao makuu yatume yajimbo,nafatilitia kwa karibu sana
Nilijua mtarudia uzembe uleule wa kusubiri kujumlishiwa.
Binafsi nimefikia kikomo cha ushirikiano baada ya kuyaingiza matokeo ya vituo 19 kwenye excel sheet. Kisha nikauliza tuletewe vituo 9 vilivyobaki.

Hadi sasa hakuna kituo kipya tulicholetewa matokeo yake wote tunakimbilia kushangilia idadi ya jumla. Kumbe hatujifunzi kutokana na makosa na inakatisha tamaa huenda hata 2015 itakuwa hivihivi.

Wakichakachua vile 19 tulivyopata tutagundua. Lakini wakichakachua vile 9 nani hapa mwenye sauti ya kuligundua hilo zaidi ya kulalama bila hoja za msingi.

Tusipopata mchanganuo wa vituo 9 vilivyobaki haina sababu kuanza kumuamini yeyote hata awe CHADEMMA mwenzetu.

Nasisitiza, walioko huko tupatieni mgawanyo wa kura kwa kila kituo tumalize ubishi na kama ni bia tuaanze kuzikata baada ya hilo kufanyika.
 
Huku mvua ikinyesha na wananchi zaidi ya elfu mbili wakiwa wanasubiri nje ya majengo ya ofisi ya Mkurugenzi na baada ya marudio ya kujumlisha kura zote kufanyika, Mgombea wa Chadema Bw. Arfi anaonekana kushinda kwa kiasi hicho cha kura na wakati huo huo mgombea wa CCM ameondoka humo ndani akikataa kutia sahihi kukubali matokeo.

Wananchi wanazidi kuelekea hapo wakitia msisitizo kuwa matokeo yatangazwe, Arfi yuko ndani, na wakati wowote Mkurugenzi ameahidi kutangaza. Kwa sasa habari ndiyo na nimezungumza na sources ndani kabisa ya mchakato wa kuhesabu kura na nje ya watu wa Chadema...
Asante sana mwanakijiji, hujui ni kiasi gani nateseka kusuburi matokeo haya, asante kwani umekuwa more concrete kwa kuja na data hizo, kama utaendelea kupata update please keep on posting. You are the reason I am still awake
asante sana God bless those who sufferes for this national
 
This Kafupi Guy there must be something short in his head why doesnt he sign haoni kwamba kuna mvua nje watu wanateseke bure, please inabidi afanye jambo la maana either ashuke sahihi au awanunulie watu mianvuli nje waendelee kulinda kura ili asichakachue:smile-big:
 
Back
Top Bottom