Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Chadema! Now this is too much. Si Utafiti umeshasema mna 74% ya kura! Na kwa kulitambua hilo hata Magamba hawajaupinga utafiti huo bali wapo bize kununua shahada ili wapunguze aibu. Sasa na hili mnaona halitoshi mpaka nae Zitto aende! CCM si wazee wenzenu? Cha kutaka kuwatia fedheha mbele ya kizazi hiki na mbele ya Mgoni wa Mwigulu Nchemba ni nini!
huna tofauti na huyo kwnye avata yako aliyepigia magoto watot wa shule
sasa hivi mnatafutakila sababu ili cdm ionekane ina vurugu
yule kijan mmlimmwagia tindikali
leo mlikuwa mmpenga kuchoma ofc za ccm igunga ili ionekane ni cdm bahati nzuri mpango wenu umejulikana na kugonga ukuta
mwaka huu mmepigwa kwenye mshono na nyuzi zimefumuka ....kazi mnayo