Where are Wenje and bwana mdogo wa MBOZI?
Watu wanatakiwa waambiwe kuwa CDM ni chama kinachopendwa kila mahali na watu wamediriki hata kuwachagua vijana wadogo tu kwa sababu hawaitaki tena CCM. Je wana-Igunga mnataka mfie kwenye mzoga wa CCM? Waambieni washutuke wasiwe kama KUPE anayengania kwenye ngozi ya ngo'mbe ili hali ngombe alishachinjwa watu wameshakula nyama zamani.
CCM ya Nyerere ilishachinjwa zamani na mafisadi na yameshaila nyama zamani kilichobaki ni ngozi tu ambayo wanaCCM KUPE ndo wameng'ang'ania. Watu wa Igunga wanahitaji waelezwe kwa mifano si kwa kutumia maneno magumu hawataelewa kwa sababu wengi hawakusoma.
Niwajuavyo wasukuma wanapenda mtu anayesema nao kwa mifano ya kuwavutia.
Watu wanatakiwa waambiwe kuwa CDM ni chama kinachopendwa kila mahali na watu wamediriki hata kuwachagua vijana wadogo tu kwa sababu hawaitaki tena CCM. Je wana-Igunga mnataka mfie kwenye mzoga wa CCM? Waambieni washutuke wasiwe kama KUPE anayengania kwenye ngozi ya ngo'mbe ili hali ngombe alishachinjwa watu wameshakula nyama zamani.
CCM ya Nyerere ilishachinjwa zamani na mafisadi na yameshaila nyama zamani kilichobaki ni ngozi tu ambayo wanaCCM KUPE ndo wameng'ang'ania. Watu wa Igunga wanahitaji waelezwe kwa mifano si kwa kutumia maneno magumu hawataelewa kwa sababu wengi hawakusoma.
Niwajuavyo wasukuma wanapenda mtu anayesema nao kwa mifano ya kuwavutia.