Kwani hilo jimbo Lowasa alipata kura ngapi na CCM walipata kura ngapi?Yaani tatizo la Magu anadhani wananchi wataipigia CCM kura kutokana na kauli zake za kibabe na za kutozingatia sheria za nchi, kama ile aliyoitoa jana kwenye mkutano Mkuu wa CCM, aliposema kuwa kama angelikuwa yeye ndiye Mwenyekiti kipindi kile cha uchaguzi mwaka jana wakati wajumbe wa NEC walipokuwa wakiimba tuna imani na Lowassa, yeye 'angewapoteza' zaidi ya nusu ya wale wajumbe!
Kwa namna JPM anavyoendeleza vitisho na ubabe kwenye utawala wake ndivyo wananchi wanavyozidi kuwa na chuki na utawala wake kuelekea kwenye chaguzi zijazo kwa kuwa nchi haiendeshwi kwa 'mikwara' bali inaendeshwa kwa kufuata Katiba ya nchi.
Jana ilikua ni mipasho kama kitchen party wanajua kusuta wale duh!Ccm wanaacha agenda Za kikao wanajadili watu,Safari ya kifo cha ccm imeanza jana.
Ushindi utawezeshwa siyo?Kwani hilo jimbo Lowasa alipata kura ngapi na CCM walipata kura ngapi?
Mimi huwa sishangazwa na hayo matokeo ya chadema kushinda kwenye baadhi ya vijiji na wala si jambo la ajabu.
Msema ukweli huwa ni uchaguzi pekee.. Hata kabla ya 2015 chadema walikuwa wana shinda shinda vijiji lakini mlijionea wenyewe kwenye uchaguzi mkuu..
Pigeni kelele lakini uchaguzi mkuu 2020 ikifika mtajionea wenyewe....
Kwani hilo jimbo Lowasa alipata kura ngapi na CCM walipata kura ngapi?
Mimi huwa sishangazwa na hayo matokeo ya chadema kushinda kwenye baadhi ya vijiji na wala si jambo la ajabu.
Msema ukweli huwa ni uchaguzi pekee.. Hata kabla ya 2015 chadema walikuwa wana shinda shinda vijiji lakini mlijionea wenyewe kwenye uchaguzi mkuu..
Pigeni kelele lakini uchaguzi mkuu 2020 ikifika mtajionea wenyewe....
kwa hiyo wewe huoni kwamba CCM kushindwa huu uchaguzi mdogo ni dalili mbaya? kati ya wewe na ntoa mada nani anawajaza watu matumaini?Wataalamu wa hallucination
Naona mnaendelea na kupuliza puli kama kawaida yenu iwape stimu za kujitekenya...
Anyway.. One thing inachowasaidia ni kuwajaza matumaini hata yasiyowezekana..
Huu mchezoooo hauitaji hasiraaa.Majizi wewe na wazazi wako waliokuzaa
Mbona kuko kimya sana ina maana wale vijana walishaachana jf?
Kwani vipi ninyi hamukuona kushindwa kwenye uchaguzi mkuu Oct 25 ni dalili mbaya iliyowatoa kabisa katika reli??kwa hiyo wewe huoni kwamba CCM kushindwa huu uchaguzi mdogo ni dalili mbaya? kati ya wewe na ntoa mada nani anawajaza watu matumaini?
Hii ni auto reply? Kila thread wewe maneno yako ni hayahaya