CHADEMA yamwekea Pingamizi Mohammed Raza uchaguzi Zanzibar

Hata nafasi yenyewe ya kushinda kwa chama cha kususa na kuandamana ni dogo sana,huo ndio ukweli.

MAJIRA NA ZAMA ZINABADILIKA HUO UKWELI WA KUJIHAKIKISHIA KUSHINDWA KWA CDM UMEUTOA WAPI WEWE MUNGU? ACHA UNAFIKI MWEHU WEWE!.

Achana na magamba hawana vision,hebu mwulize ni lini waliota kuipoteza Mwanza?ila muda ulipowadia waliipoteza na hawajui ni kwanini na Zanzibar hili haliko mbali

Nawashauri siku ya matokeo mupate msosi kabla hayajatangazwa, kwa namna hii na jinsi munavyojipa matumaini nahisi siku ya matokeo huenda mukalazwa ICU!
 
Back
Top Bottom