Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 831
- 184
Mh Suzan Kiwanga sasa ikithibika kuwa umeweza kuzungumza haya basi hakika elewa sisi CDM tutakuitaji uweze kuthibitisha maneno yako otherwise .......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeniokoa!Hapo source ilikuwa JF...
nimesikitishwa sana na ubaguzi uliopo ndani ya chadema,hivi karibuni ktk harakati za chadema kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi igunga, mbunge wa viti maalumu na wenzake walimdharilisha kwa kumvua hijabu mkuu wa wilaya igunga kwa kuhisi alikuwa anapigia kampeni ccm.mbunge huyo susan kiwanga amefikishwa mahakamani na wenzake kwa kosa hilo, mbunge huyo alikuwa akilalamika hayo muda mfupi kabla ya kuanza semina ya viongozi wa cdm tarehe 7/12/2011 mjini morogoro ktk ukumbi wa BZ hotel, namnukuu "nimetoka tabora kwenye kesi hivyo sikupata haya mafunzo, kesi yenyewe chama kimeniachia mwenyewe.. na hata wakili anayenitetea ni wa kujitolea na ni mzee sana hivyo huwa muda mrefu huwa anasinzia mahakamani kwa hiyo mambo ni magumu kwangu kwa upande wa kesi, unajua sisi wabunge ambao hatutoki kaskazini hatuthaminiwi kabisa ndani ya chama japokuwa mimi nilijitolea kuzunguka nchi nzima ktk kampeni za urais na slaa" . hata hivyo kuonyesha kukata tamaa kwa mbunge huyo hata alivyoingia ndani ya ukumbi wakati wa kujitambulisha alisema "huwezi kuwa kiongozi bila kufungwa" susan aliponda sana mfumo wa chama kuwajali hasa wabunge wa kichaga kama lema, kiwia ambaye ndiye alikuwa mkufunzi siku hiyo.
mkuu tupe source ili tupate authority ya kucoment. mimi nataka tu uthibitishe kama kweli alisema kuwa wabunge wa kasikazini ndio wanathaminiwa ndani ya CDM; hilo tu basi. sitajali kwamba hii ni post yako ya kwanza ama tatu au mia mbili kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha
ndo huyo advocate ambaye amejitolea sasa unajua ni jaji mstaafu je unajua ana umri gani?? fuatilia uje na majibu, pia muulize katibu wa mkoa wa cdm pamoja na mbunge susan akane hapa nimwage ushahidi zaidiWewe umetumwa na Nape! Kesi ya wabunge wa chadema ipo chini ya Advocate mashuhuri,X judge na ni mgombea wa ubunge wa 2010 Tabora mjini na ni mwenyekiti wa wilaya Tabora mjini Advocate Alhaji Musa Kwikima akisaidiwa na Advocate mashuhuru na MP,mh, Tindu lussu
najua ni uchonganishi japokuwa ni kweli ndiyo yanayondelea ndani ya cdm lakini ni muhimu kwa washabiki wasio wapenzi wa cdm wakiyafahamu.acha uchonganishi..
Binadamu ndivyo tulivyo, huwa wanasema humo CDM ubunge wanapeana watu wa kaskazini, na sasa ukishakuwa mbunge pia hauna maana hadi uwe umotokea kaskazini.mpunumpunyenye said:unajua sisi wabunge ambao hatutoki kaskazini hatuthaminiwi kabisa ndani ya chama japokuwa mimi nilijitolea kuzunguka nchi nzima ktk kampeni za urais na slaa
unaongelea upelelezi wakati upande wa mashtaka ulishamaliza kutoa ushahidi! jumla ya mashahidi 9 walitoa ushahidi na taerehe 14/12/2011 kesi itaendelea kwa upande wa watuhumiwa kuanza kujitetea.dubu nakupa hi! kama kesi anaisimamia Tundu, basi police-mamba wanakuna vichwa kukamilisha upelezi wa kungaunga