sawa mkuu lakini tazama hoja na sio idadi ya hoja
mwongo utamjua tu!anaota huyu!anataka kutwambia kuwa yeye ni msemaji wa huyu mbunge. Si kuna taratibu za chama za kufanywa na mbunge ili apate haki yake!Mkuu angalia hapo kwenye red. Hivi leo ni tarehe ngapi?
Siwezi shangaa sredi hii ikiwa imerushwa na mwana magamba hata uongo kutunga mnachemka angalia tarehi hiyo duh kweli mmethubutu na mmeweza kuwaburuza watanzania kwa kijinga.
Kwanza karibu sana JF. Naona hii ni post yako ya 3.
mwongo utamjua tu!anaota huyu!anataka kutwambia kuwa yeye ni msemaji wa huyu mbunge. Si kuna taratibu za chama za kufanywa na mbunge ili apate haki yake!
nimesikitishwa sana na ubaguzi uliopo ndani ya chadema,hivi karibuni ktk harakati za chadema kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi igunga, mbunge wa viti maalumu na wenzake walimdharilisha kwa kumvua hijabu mkuu wa wilaya igunga kwa kuhisi alikuwa anapigia kampeni ccm.mbunge huyo susan kiwanga amefikishwa mahakamani na wenzake kwa kosa hilo, mbunge huyo alikuwa akilalamika hayo muda mfupi kabla ya kuanza semina ya viongozi wa cdm tarehe 7/12/2011 mjini morogoro ktk ukumbi wa BZ hotel, namnukuu "nimetoka tabora kwenye kesi hivyo sikupata haya mafunzo, kesi yenyewe chama kimeniachia mwenyewe.. na hata wakili anayenitetea ni wa kujitolea na ni mzee sana hivyo huwa muda mrefu huwa anasinzia mahakamani kwa hiyo mambo ni magumu kwangu kwa upande wa kesi, unajua sisi wabunge ambao hatutoki kaskazini hatuthaminiwi kabisa ndani ya chama japokuwa mimi nilijitolea kuzunguka nchi nzima ktk kampeni za urais na slaa" . hata hivyo kuonyesha kukata tamaa kwa mbunge huyo hata alivyoingia ndani ya ukumbi wakati wa kujitambulisha alisema "huwezi kuwa kiongozi bila kufungwa" susan aliponda sana mfumo wa chama kuwajali hasa wabunge wa kichaga kama lema, kiwia ambaye ndiye alikuwa mkufunzi siku hiyo.
unajua kama kuna watu huwa nawaheshimu sana humu ni ww,
kimekupata nini?
ebu jibu hoja mkuu......
unajua kuwa blind follower hakuisaidii chadema, kama wewe ni CDM go confirm this na kama ni uongo njoo na hoja ya kuwa kasema uongo...otherwise ulichojibu na una choki-support
ni non sense!!
Usidanganye watu
Si kila thread inayopositiwa ina hoja zingine ni upupu mtupu, hebu tuambie mtu uanze kuchangia kitu hujui source yake isitoshe ni mkutano wa tarehe 17/12/2011 kutetea thread hiyo hata wewe zitakuwa zinakutosha kweli?unajua kama kuna watu huwa nawaheshimu sana humu ni ww,
kimekupata nini?
ebu jibu hoja mkuu......
unajua kuwa blind follower hakuisaidii chadema, kama wewe ni CDM go confirm this na kama ni uongo njoo na hoja ya kuwa kasema uongo...otherwise ulichojibu na una choki-support
ni non sense!!
Habari kama hi ni ya kuchangiwa na akina Rejao, FAizaFox na wengine wenye hulka ya kiitikadi. Hakuna uthibitisho wa kauli yako kwa ulichokileta hapa.
Si kila thread inayopositiwa ina hoja zingine ni upupu mtupu, hebu tuambie mtu uanze kuchangia kitu hujui source yake isitoshe ni mkutano wa tarehe 17/12/2011 kutetea thread hiyo hata wewe zitakuwa zinakutosha kweli?
nimesikitishwa sana na ubaguzi uliopo ndani ya chadema,hivi karibuni ktk harakati za chadema kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi igunga, mbunge wa viti maalumu na wenzake walimdharilisha kwa kumvua hijabu mkuu wa wilaya igunga kwa kuhisi alikuwa anapigia kampeni ccm.mbunge huyo susan kiwanga amefikishwa mahakamani na wenzake kwa kosa hilo, mbunge huyo alikuwa akilalamika hayo muda mfupi kabla ya kuanza semina ya viongozi wa cdm tarehe 7/12/2011 mjini morogoro ktk ukumbi wa BZ hotel, namnukuu "nimetoka tabora kwenye kesi hivyo sikupata haya mafunzo, kesi yenyewe chama kimeniachia mwenyewe.. na hata wakili anayenitetea ni wa kujitolea na ni mzee sana hivyo huwa muda mrefu huwa anasinzia mahakamani kwa hiyo mambo ni magumu kwangu kwa upande wa kesi, unajua sisi wabunge ambao hatutoki kaskazini hatuthaminiwi kabisa ndani ya chama japokuwa mimi nilijitolea kuzunguka nchi nzima ktk kampeni za urais na slaa" . hata hivyo kuonyesha kukata tamaa kwa mbunge huyo hata alivyoingia ndani ya ukumbi wakati wa kujitambulisha alisema "huwezi kuwa kiongozi bila kufungwa" susan aliponda sana mfumo wa chama kuwajali hasa wabunge wa kichaga kama lema, kiwia ambaye ndiye alikuwa mkufunzi siku hiyo.
Mkuu suzan ni jembe ndani ya chadema. si mtu wa kulalamika ovyo. Chama kinamjali ndo maana kikamuwekea dhamana. sylivester na suzan kesi yao moja na anaye isimamia ni Tundu Lissu. Kumbuka siku ya kwanza Lissu aliwauliza walalmikaji mpo tayari tuanze kesi? Polisi wakasema bado upelelezi haujakamilika. je upelelezi umekamilika?
unajua kama kuna watu huwa nawaheshimu sana humu ni ww,
kimekupata nini?
ebu jibu hoja mkuu......
unajua kuwa blind follower hakuisaidii chadema, kama wewe ni CDM go confirm this na kama ni uongo njoo na hoja ya kuwa kasema uongo...otherwise ulichojibu na una choki-support
ni non sense!!