Chadema yaliza watumishi halmashauri ya jiji mwanza!!

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
Kuna taarifa kuwa watumishi walioajiri katika ofisi za halmashauri ya jiji la mwanza wamekuwa katika wakati mgumu tangu chadema waanze kuiongoza halmashauri hiyo ambayo ni miongoni mwa halmashauri zinazokusanya mapato mengi zaidi hapa nchini. Watumishi hao wamekuwa katika wakati mgumu baada ya baraza la madiwani linaloongozwa na chadema kudaiwa kufuta malupulupu mbalimbali waliyokuwa wakijigawia watumishi hao wakiongozwa na mkurugenzi wa jiji. Taarifa zinazohitaji uchunguzi zaidi zinasema kuwa hapo nyuma watumishi wa halmashauri walikuwa wakipigana vikumbo hadi siku za jumamosi na jumapili kwenda ofisini kufanya kazi huku wakiambulia malupulupu yanayokadiriwa kufikia sh. Laki mbili na nusu za kitanzania kila mwisho wa wiki pamoja na malipo ya overtime. Baada ya chadema kuongoza halmashauri inasemekana malipo ya overtime yamefutwa pamoja na yale malupulupu ya kila mwisho wa wiki. Tangu uamuzi huo uchukuliwe watumishi wengi wamekua wakitoka ofisini sa tisa na wamekuwa wakionekana mara chache sana siku za jumamosi na jumapili. Taarifa zinazidi kusema kuwa kuna watumishi sasa wanatamani kuuza magari yao kwa kuwa pesa za kuyagharamikia zimekuwa ngumu. Chanzo: kutoka halmashauri ya jiji-mwanza.
 
Kuna taarifa kuwa watumishi walioajiri katika ofisi za halmashauri ya jiji la mwanza wamekuwa katika wakati mgumu tangu chadema waanze kuiongoza halmashauri hiyo ambayo ni miongoni mwa halmashauri zinazokusanya mapato mengi zaidi hapa nchini. Watumishi hao wamekuwa katika wakati mgumu baada ya baraza la madiwani linaloongozwa na chadema kudaiwa kufuta malupulupu mbalimbali waliyokuwa wakijigawia watumishi hao wakiongozwa na mkurugenzi wa jiji. Taarifa zinazohitaji uchunguzi zaidi zinasema kuwa hapo nyuma watumishi wa halmashauri walikuwa wakipigana vikumbo hadi siku za jumamosi na jumapili kwenda ofisini kufanya kazi huku wakiambulia malupulupu yanayokadiriwa kufikia sh. Laki mbili na nusu za kitanzania kila mwisho wa wiki pamoja na malipo ya overtime. Baada ya chadema kuongoza halmashauri inasemekana malipo ya overtime yamefutwa pamoja na yale malupulupu ya kila mwisho wa wiki. Tangu uamuzi huo uchukuliwe watumishi wengi wamekua wakitoka ofisini sa tisa na wamekuwa wakionekana mara chache sana siku za jumamosi na jumapili. Taarifa zinazidi kusema kuwa kuna watumishi sasa wanatamani kuuza magari yao kwa kuwa pesa za kuyagharamikia zimekuwa ngumu. Chanzo: kutoka halmashauri ya jiji-mwanza.

hii safi.

wasiwasi wangu ni source ya taarifa yenyewe. inaonekana uliambiwa tu na jamaa yako mkiwa kwenye baraza la supu ya sato
 
Kuna muajiriwa mmoja wa halmashauri ya jiji alikiri kwamba hali ni ngumu sana kwa sasa.
 
Ufisadi wa kujipa marupurupu yasiyokuwa na maelezo ndio unasababisha mkurugenzi akishirikiana na CCM kulazimisha meya wao hapa Arusha maana wanajua wa CDM ajawaumbua na kuwakomesha kama huko Mwz. Big up Mwz. Mfanye na uchunguzi kama kuna ufisadi wapelekwe mahakamani. Sisi huku Arusha mpaka sasa hatuna serikali ya h/wilaya maana "hatuna" meya! Na hakuna kulala mpaka kieleweke!
 
kama ni kwa ajili ya kudhibiti rushwa, matumizi mabovu, na kuimarisha huduma ya waliowengi ni safi; bali si kwa minajri ya kukandamiza watumishi.
 
Na kwa hili tunastahili kuwapongeza cdm kwa kudhibiti
matumizi yasiyo na tija.kama kazi inaweza fanyika ktk muda wa kazi ulio kisheria iweje ulazimishe O/T.
huo ni moja ya ufisadi pevu pia.
 
Ahsante Bwana Mungu. Nawaombea Mungu viongozi wa CDM waendelee kuongaza nchi katika misingi ya Mungu aliye hai.
 
Watumishi wengi wa Halmashauri wamekuwa hawafanyi kazi zao au hawatimizi wajibu kwa mategemeo kwamba watafanya overtime na kulipwa. Suala hili limekuwa ni mzigo kwa Halmashauri nyingi.

Ni mkakati wa CDM kuhakikisha tabia hiyo inakoma. Watumishi wafanye kazi ndani ya muda uliowekwa na zikamilike.
Overtime iwe ni kwa kazi za dharura tu. Pia wawe wazalendo na wenye moyo wa kujitolea sio kila kitu wanataka walipwe.
 
Kuna taarifa kuwa watumishi walioajiri katika ofisi za halmashauri ya jiji la mwanza wamekuwa katika wakati mgumu tangu chadema waanze kuiongoza halmashauri hiyo ambayo ni miongoni mwa halmashauri zinazokusanya mapato mengi zaidi hapa nchini. Watumishi hao wamekuwa katika wakati mgumu baada ya baraza la madiwani linaloongozwa na chadema kudaiwa kufuta malupulupu mbalimbali waliyokuwa wakijigawia watumishi hao wakiongozwa na mkurugenzi wa jiji. Taarifa zinazohitaji uchunguzi zaidi zinasema kuwa hapo nyuma watumishi wa halmashauri walikuwa wakipigana vikumbo hadi siku za jumamosi na jumapili kwenda ofisini kufanya kazi huku wakiambulia malupulupu yanayokadiriwa kufikia sh. Laki mbili na nusu za kitanzania kila mwisho wa wiki pamoja na malipo ya overtime. Baada ya chadema kuongoza halmashauri inasemekana malipo ya overtime yamefutwa pamoja na yale malupulupu ya kila mwisho wa wiki. Tangu uamuzi huo uchukuliwe watumishi wengi wamekua wakitoka ofisini sa tisa na wamekuwa wakionekana mara chache sana siku za jumamosi na jumapili. Taarifa zinazidi kusema kuwa kuna watumishi sasa wanatamani kuuza magari yao kwa kuwa pesa za kuyagharamikia zimekuwa ngumu. Chanzo: kutoka halmashauri ya jiji-mwanza.

kwani walikuwa hawafuati taratibu za kiutumishi, viwango vya serikali si vinajulikana!
 
Kuna taarifa kuwa watumishi walioajiri katika ofisi za halmashauri ya jiji la mwanza wamekuwa katika wakati mgumu tangu chadema waanze kuiongoza halmashauri hiyo ambayo ni miongoni mwa halmashauri zinazokusanya mapato mengi zaidi hapa nchini. Watumishi hao wamekuwa katika wakati mgumu baada ya baraza la madiwani linaloongozwa na chadema kudaiwa kufuta malupulupu mbalimbali waliyokuwa wakijigawia watumishi hao wakiongozwa na mkurugenzi wa jiji. Taarifa zinazohitaji uchunguzi zaidi zinasema kuwa hapo nyuma watumishi wa halmashauri walikuwa wakipigana vikumbo hadi siku za jumamosi na jumapili kwenda ofisini kufanya kazi huku wakiambulia malupulupu yanayokadiriwa kufikia sh. Laki mbili na nusu za kitanzania kila mwisho wa wiki pamoja na malipo ya overtime. Baada ya chadema kuongoza halmashauri inasemekana malipo ya overtime yamefutwa pamoja na yale malupulupu ya kila mwisho wa wiki. Tangu uamuzi huo uchukuliwe watumishi wengi wamekua wakitoka ofisini sa tisa na wamekuwa wakionekana mara chache sana siku za jumamosi na jumapili. Taarifa zinazidi kusema kuwa kuna watumishi sasa wanatamani kuuza magari yao kwa kuwa pesa za kuyagharamikia zimekuwa ngumu. Chanzo: kutoka halmashauri ya jiji-mwanza.
That is what we have been waiting for so long, i wish Musoma Arusha Kigoma Ukerewe Hai etc etc......could practice the same.
 
Ufisadi wa kujipa marupurupu yasiyokuwa na maelezo ndio unasababisha mkurugenzi akishirikiana na CCM kulazimisha meya wao hapa Arusha maana wanajua wa CDM ajawaumbua na kuwakomesha kama huko Mwz. Big up Mwz. Mfanye na uchunguzi kama kuna ufisadi wapelekwe mahakamani. Sisi huku Arusha mpaka sasa hatuna serikali ya h/wilaya maana "hatuna" meya! Na hakuna kulala mpaka kieleweke!
Mnasema msiyo yajua madiwani hawana uwezo wa kuzuia marupurupu ya watendaji. Kwa kuwa hakuna hata documenty moja inayo sainiwa iwe ni diwani au meyer msizungumze habari za mitaani
 
Kuna taarifa kuwa watumishi walioajiri katika ofisi za halmashauri ya jiji la mwanza wamekuwa katika wakati mgumu tangu chadema waanze kuiongoza halmashauri hiyo ambayo ni miongoni mwa halmashauri zinazokusanya mapato mengi zaidi hapa nchini. Watumishi hao wamekuwa katika wakati mgumu baada ya baraza la madiwani linaloongozwa na chadema kudaiwa kufuta malupulupu mbalimbali waliyokuwa wakijigawia watumishi hao wakiongozwa na mkurugenzi wa jiji. Taarifa zinazohitaji uchunguzi zaidi zinasema kuwa hapo nyuma watumishi wa halmashauri walikuwa wakipigana vikumbo hadi siku za jumamosi na jumapili kwenda ofisini kufanya kazi huku wakiambulia malupulupu yanayokadiriwa kufikia sh. Laki mbili na nusu za kitanzania kila mwisho wa wiki pamoja na malipo ya overtime. Baada ya chadema kuongoza halmashauri inasemekana malipo ya overtime yamefutwa pamoja na yale malupulupu ya kila mwisho wa wiki. Tangu uamuzi huo uchukuliwe watumishi wengi wamekua wakitoka ofisini sa tisa na wamekuwa wakionekana mara chache sana siku za jumamosi na jumapili. Taarifa zinazidi kusema kuwa kuna watumishi sasa wanatamani kuuza magari yao kwa kuwa pesa za kuyagharamikia zimekuwa ngumu. Chanzo: kutoka halmashauri ya jiji-mwanza.

Nijuavyo mimi serikalini hakuna hela maana Wageni(according to Membe) hawajatoa Mshiko wa kutosha.
 
inaweza kuwa kweli lakini maeneo mengi serikalini hali ni mbaya sana na hasa zile zinazotegemea ruzuku kwa % kubwa.mshahara kwa graduate ni
Kama laki 3 bila marupurupu hapatakalika na kuna tishio kubwa watu kurudi private sector na hapo ndio itapokuwa balaa.bila marupurupu serikalini hapakaliki cha msingi ni kuyasimamia yawe reasonable.swala la overtime kule ni sh 10,000 tu kwa siku hivyo hiyo si motivation watu waende w'end kazini.tuwe makini isijekuwa watu moral imeshuka sabab ya hali ngumu!Cdm wawe makini ili watumishi wajitume cha msingi ni kuweka utaratibu wa uwajibikaji,najua wapo wazalendo wenzetu kule kama mshahara laki 3 na alivuta ka mkopo ka 4mil anakatwa anabaki na laki na nusu! ni hatari waungwana.ni tahadhari tu wakuu!
 
Mwevitinyekiti wa Halmashauri akiwa fisadi anao uwezo mkubwa wa kumshawishi Mkurugenzi na wakaiba mamilioni ya shilingi,ndio maana huku mikoani tunawaona wenyeviti wakijenga mahekalu na kununua magari wakati hawana mishahara ya kueleweka.Hilo la Mwanza linawezekana kwani Meya anao uwezo wa kuidhinisha pesa zitumike vipi.
TUKUMBUKE SALA HII KILA SIKU NDUGU ZANGU

TUOMBE:
Ee KIKWETE uliye tufilisi, jina lako USANII MTUPU,utakalo lifanyike BAGAMOYO tu, utupe leo mabilioni yetu ya EPA, uwapeleke MAFISADI wote mahakamani, uwalipe wastaafu pesa zao,CCM ianguke kwenye uchaguzi ujao kama wewe unavyoanguka majukwaani,usiwalipe DOWANS kama vile unavyofikiria AMIN Mungu ibariki Tanzania na Watanzania
 
nilitegemea hayo na bado mengine...

What do you mean ulitegemea hayo. Wanachokifanya ni sahihi kabisa ni njia mojawapo ya kudhibiti ujinga uliokithiri sehemu nyingi makazini. Kujilipa pesa ovyo ovyo wakati hamleti maendeleo yoyote kwa wananchi mnategemea nini.
 
Back
Top Bottom