thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
Unaleta gazeti la udaku la chadema, bila kutaja hatua zilizochukuliwa? imetikisa nini sasa hiyo hotuba zaidi ya kuwatukana majaji? angoje kimbembe cha kamati ya maadili.
system at work. CCM at work
Unaleta gazeti la udaku la chadema, bila kutaja hatua zilizochukuliwa? imetikisa nini sasa hiyo hotuba zaidi ya kuwatukana majaji? angoje kimbembe cha kamati ya maadili.
Sasa kuwaambia wanaoteuliwa "hawana uwezo", hayo kikwenu sio matusi? Ndugu yangu hata "kichwa chako" inaweza ikawa ni tusi itategemea na matamshi. Hata "mamako" inaweza ikawa ni tusi inategemea na matamshi. Tusijidai kuwa hatuelewi Kiswahili.
Ukosefu wa maadili ni ukosefu wa maadili, mtu akifanya zinaa ni zinaa tu haiwezekani isiwe zinaa kwa kuwa eti nafanya na mchumba. Tuwe makini.
umetoka nje ya mada.mifano yako ni mfu.
Kwani iyo kamati itamhojia Msitu wa Pande?Angoje kamati ya maadili ndio mtajuwa nipo kwenye mada au nimetoka nje ya mada.
Kwani iyo kamati itamhojia Msitu wa Pande?