The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Huyu ni pasco tumjuaye au kuna mtu katumia id yake?
Upupu huu mkuu ni chini ya kiwango.
Upupu huu mkuu ni chini ya kiwango.
Hichi ndo PASCO alichokusudia.
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Update 1: Angalizo!.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Pasco.
You are very funny ati aendelee kuamini wakati wenye chama wenyewe hawamtambui mwisho unaonekana kituko sasa.Aombe radhi kwa sababu ya ufahamu wake? If he believes Mbowe amemtambua Rais, ataendelea kuamini hivyo. What's the point ya kuomba radhi kwa ajili ya kuridhisha watu tu.
Au ndo tunataka watu waaanze kuficha kueleza mawazo yao kwa kuwa hayaendi sambamba na kile wengi wanachokiamini?
Huyu ni pasco tumjuaye au kuna mtu katumia id yake?
Upupu huu mkuu ni chini ya kiwango.
Kila mtu na ufahamu wake
Yeye kwa mujibu wa sequence za matokeo na maneno ya Mheshimiwa Mbowe ameona ni sawa na kumtambua tu.
Jemedari Dr. Slaa alikuwa muungwana sana baada ya kuchakachuliwa kura za uraisi. Alitulia. Peoples power tulikuwa tunasubiri Jemedari apulize kipenga, watu waingie mtaani kama Tunisia na Misri. Bahati yao. Warudie tena kuchakachua kura zetu 2015 waone kama nchi itakalika
Ki ukweli Bunge limeniboa hasa..Yaani kipindi cha maswali kikiisha sijisikii tena kusikiliza mipasho na vijembe vyao.Jumatatu ifike haraka tumalize kuchangia hii hotuba ya Rais inayotupa nafasi ya kuogeleoa popte unapotaka.
Sasa nashindwa kuelewa ikiwa Regia mwenyewe amamkubali Rais sasa uzushi wa Pasco ni nini? anyway siasa ngumu ngoja nirudi kijijini nikalime.
Sasa ile kutoka bungeni siku ya kwanza ilikuwa ni nini?
Kweli chama hichi kiko consistent!
Hujachelewa huu ndo msimu wenyewe!