Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Jee Mbowe Amemtambuaje JK?.
Ile kumtaja tuu rais JK bungeni na kumshukuru kuanzisha mchakato wa katiba mpya, ni kumtambua tosha.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Tume ya Uchaguzi Ikiishamtangaza Fulani Ndio Ameshinda Urais, Huyo Ndiye Rais, Umtambue au Usimtambue, It Doesn't Matter at all!.
Rais wa JMT ni kitu kinachoitwa being, yaani uwepo wake, ni kitu ambacho kipo na kina exist, huwezi kusema hukitambui, ni kama lilivyo Jua, jua lipo, ulipende, usilipende, lakini lipo, ulitake au usilitake, lenyewe lipo, ukitoka tuu nje juani, litakuchoma, namna pakee ya kuliepuka jua ni 6ft under!.
Hivyo rais wa JMT ni mtu ambaye yupo, uwe ulimchagua au hukumchagua, ndiye rais wako. Uwe unampanda au humpendi, ni rais wako, uwe unamtambua, au humtambui, yeye bado yupo tuu, ni rais wako, ndiye rais wa Mbowe, ndiye rais wa Dr. Slaa, ndiye rais wa Lipumba, ndiye rais wa Watanzania wote, umtambue usimtambue hakuna tofauti!.
Unaweza usimkubali, au usimpende, that is optional, ila kumtambua ni lazima tuu umtambue hata kama unatoa kauli kuwa humtambui!.
Paskali.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!
Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.
Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!
Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!
Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.
Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!
Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!
Asante sana Freeman Mbowe!.
Jee Mbowe Amemtambuaje JK?.
Ile kumtaja tuu rais JK bungeni na kumshukuru kuanzisha mchakato wa katiba mpya, ni kumtambua tosha.
Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.
mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!
Tume ya Uchaguzi Ikiishamtangaza Fulani Ndio Ameshinda Urais, Huyo Ndiye Rais, Umtambue au Usimtambue, It Doesn't Matter at all!.
Rais wa JMT ni kitu kinachoitwa being, yaani uwepo wake, ni kitu ambacho kipo na kina exist, huwezi kusema hukitambui, ni kama lilivyo Jua, jua lipo, ulipende, usilipende, lakini lipo, ulitake au usilitake, lenyewe lipo, ukitoka tuu nje juani, litakuchoma, namna pakee ya kuliepuka jua ni 6ft under!.
Hivyo rais wa JMT ni mtu ambaye yupo, uwe ulimchagua au hukumchagua, ndiye rais wako. Uwe unampanda au humpendi, ni rais wako, uwe unamtambua, au humtambui, yeye bado yupo tuu, ni rais wako, ndiye rais wa Mbowe, ndiye rais wa Dr. Slaa, ndiye rais wa Lipumba, ndiye rais wa Watanzania wote, umtambue usimtambue hakuna tofauti!.
Unaweza usimkubali, au usimpende, that is optional, ila kumtambua ni lazima tuu umtambue hata kama unatoa kauli kuwa humtambui!.
Paskali.