CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,567
Watch TBC Live toka Bungeni!

attachment.php
1145852_GO9G1385.jpg


Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!

Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.
Jee Mbowe Amemtambuaje JK?.
Ile kumtaja tuu rais JK bungeni na kumshukuru kuanzisha mchakato wa katiba mpya, ni kumtambua tosha.

Kuna kitu kinaitwa expressly na impliedly!
Expressly ni kwa Mbowe kutangaza kwamba sasa Chadema inamtambua Rais!
Impliedly ni pale Mbowe alipompongeza rais, akamsifu, akamshukuru na bla bla bla nyingi za kusifu na kutukuza na kuonyesha spirit ya reconciliation.

mkubali msikubali, Chadema imemtambua Rais JK impliedly na wamekubali yaishe zaidi ya hapo ni ubishi tuu, vinginevyo Mbowe afanya Press Conference afafanue na kukazia kutomtambua JK!

Tume ya Uchaguzi Ikiishamtangaza Fulani Ndio Ameshinda Urais, Huyo Ndiye Rais, Umtambue au Usimtambue, It Doesn't Matter at all!.

Rais wa JMT ni kitu kinachoitwa being, yaani uwepo wake, ni kitu ambacho kipo na kina exist, huwezi kusema hukitambui, ni kama lilivyo Jua, jua lipo, ulipende, usilipende, lakini lipo, ulitake au usilitake, lenyewe lipo, ukitoka tuu nje juani, litakuchoma, namna pakee ya kuliepuka jua ni 6ft under!.

Hivyo rais wa JMT ni mtu ambaye yupo, uwe ulimchagua au hukumchagua, ndiye rais wako. Uwe unampanda au humpendi, ni rais wako, uwe unamtambua, au humtambui, yeye bado yupo tuu, ni rais wako, ndiye rais wa Mbowe, ndiye rais wa Dr. Slaa, ndiye rais wa Lipumba, ndiye rais wa Watanzania wote, umtambue usimtambue hakuna tofauti!.

Unaweza usimkubali, au usimpende, that is optional, ila kumtambua ni lazima tuu umtambue hata kama unatoa kauli kuwa humtambui!.


Paskali.
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.


Pasco,
Naomba uelewe since he is a President by Law what do you expect? However what is really inour heart has been expressed.

No matter what we can not change it Today.
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.


Mbowe amemshukuru Rais kwa kutumia busara na kukubali katiba mpya kwa kutumia sera liyokuwa kwenye ilani ya uchaguzi ya chadema ... na kuiomba serikali kutokusita kuomba ushauri kwa CDM kwani sera za CHADEMA hazina intellectual property right
 
Huyu shekifu naona anazungumza pumba-kuwa mkuu wa mkoa wa manyara hakukusaidii kujua undani wa mambo yaliotokea arusha-asubir tar-14 ndo azungumze haya
 
Watch TBC Live toka Bungeni!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.
<br />
Muongo mkubwa,alichosema Mbowe ni kuwa anampongeza Rais kwa kukubali kuanza mchakato wa katiba mpya japokuwa haikuwa katika ilani ya CCM.Mh.Mbowe amewataka serikali kuitumia ilani ya Chadema na wabunge wa CCM na wa vyama vingine wasiwe na hofu na wabunge wa CHADEMA na wawaelewe na kushirikiana nao.
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Nadhani taarifa yako si sahihi, alichompongeza JK ni kukubali suala la katiba mpya, na amesema wazi kabisa kuwa suala la katiba halikuwa kwenye ilani ya ccm wala kwenye hotuba ya rais lakni kutokana na preasure amekubali. Huo ni uungwana kwani katiba ndiyo itakayoleta mustakabali wa nchi. Nina imani mpaka kesho Mh Mbowe akiulizwa kama JK ni rais halali atasema hapana, isipokuwa ni rais kwa mujibu wa katiba na sheria tunazozilalamikia.
 
Mode: Samahani nilihamanika nikakosea.
Naomba nirekebishie heading ya thread hii isomeke
ile news alert iondoke ibaki breaking news!. Chadema yakubali yaishe, Wanamtambua JK!, Wampongeza!.
 
Hakuna kitu kama hicho..
Pasco karudie kusikiliza..
Amesema anamshukuru Rais kwa kuwa msikivu, na kwamba amechukua hoja ya Chadema ya Katiba na kuiweka hadharani.
Lakini hakumaanisha kuwa ni rais aliyeshinda kwa kishindo...
Kuwa makini mkuu, hii ni ishu kubwa sana usii-amplify in a wrong way...
 
Watch TBC Live toka Bungeni!
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amekubali yaishe, wanamtambua JK kama Rais, Wanampongeza!
Mbowe ameomba reconciliation for the sake of Umoja wa Kitaifa.

Big Up kwa Freeman Mbowe, sio siri mimi binafsi nilikuwa simuheshimu sana Mbowe nikimuona kama spoon fed leader.
Kuanzia sasa ni heshima mbele! Huo ndio uanamume, kukubali kushindwa na kukubali yaishe!

Mbowe amewashukuru wapiga kura kwa kura walizoipigia Chadema!.

Hiki Mbowe alichokifanya Bungeni, ndicho Dr. Slaa alichotakiwa kukifanya ile siku ya kutangazwa matokeo!

Nilisema that was a golden missed opportunity. Sasa Mbowe amerekebisha makosa ya Dr. Slaa. Chadema sasa inarudi juu!

Kuna posti niliwahi kuiposti kuwa Chadema hawajajipanga, nilishambuliwa piga ua. Sasa nasema Chadema imeanza kujipanga. Big up!.

Kwanza mlibanaaa... mwisho mmeachia... I'm glad I was damm right!

Chadema sasa tusonge mbele, hata mimi nikirudi uraiani, naweza kufikiria kujiunga Chadema, kuimarisha nguvu!

Asante sana Freeman Mbowe!.

Asante Mkuu Pasco kwa bandiko hili, wengi takubaliana nami kuwa Mh. Mbowe hajakurupuka katika hili.
attachment.php
 

Attachments

  • GO9G1385.JPG
    GO9G1385.JPG
    126.3 KB · Views: 3,106
Sasa walichokubali kiishe hapo ni kipi? mbona sababu za kutoka nje ya bunge zilielezewa vizuri na cdm au mlikua mmelala?

cdm walitoka nje kuonyesha msimamo wao juu ya mamlaka iliyomweka JK madarakani na wala hawakuvunja sheeria yeyote kwani ni haki yao kisheria, hii thread sijajua lengo lake ni nini?
 
Back
Top Bottom