Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
Wachangiaji mbalimbali walitoa ushauri kuwa CHADEMA ihame kutoka www.chadema.net iwe na domain name yenye jina la kitanzania. Naona wamekubali ushauri huo na sasa wanapatikana kwenye www.chadema.or.tz. Naona pia wametangaza rasmi kuwa kwa wale wenye simu za Zain na Voda wanaweza kuchangia ama kujiunga kwa kutuma neno CHADEMA kwenda namba 15710. Hongereni
Asha
Asha