CHADEMA yakerwa na tamko la Kamati Kuu ya CCM!

Mkuu hili tamko limekuja wakati muafaka. Na kama magamba wana akili timamu walisome vizuri waelewe na kama hawaelewi watafute wa kuwaelimisha. Tamko lao kwamba vyama vingine ambavyo wala sio vya upinzani bali ni matawi ya magamba vishirikishwe kwenye mazungumzo na rais wamekurupuka kama matokeo ya kuwaza kwa kutumia masaburi.

Kwa mtu mwenye akili zake timamu asingeweza kukurupuka kutoa tamko kama hilo. Kwa tamko hili la cdm naona akili zitawarudia.
 
yaweza kuwa sawa maana wengine walijadili walichotaka bungeni na malengo ya mkutano huu yako wazi, ni juu ya katiba!
Nawaomba Cdm wawashirikishe wabunge wa nccr siyo chama at least mwakilishi mmoja wale waliopinga mswaada. Maana chama kama chama hawasomeki mpaka leo Mbatia kashikwa na kigugumizi mpaka leo.
 
Sababu zipi zaidi ya zile alizosema Lissu ? mnazo mpya ?. Najua hakuna jipya , na kama ni hizo hizo JK aliisha zijibu zote au shida yenu ni kwenda kushikana na rais mikono, kuingia ikulu, kunywa chai na kupiga picha ?
Chai ya ikulu hawajipendi, watavuka ngozi kama Mwakyembe. Naamini hawatagusa vinywaji.
 
Hii ya CCM kukurupuka ni sawa na kumuona jamaa anaelekea Ubungo ukamfuata wakati wewe ulikuwa huna mpango wa kwenda huko.

Chadema ina sababu zake wanapinga mswada kusainiwa, sasa CCM na CUF watakwenda na hoja gani, kama hoja yao ni kuupinga mswada sawa waende makao makuu ya Chadema waone ni kwa namna gani wataunganisha hoja lakini kama wana hoja tofauti na Chadema waombe siku nyingine wakutane na rais hawakatazwi.

Hii ni sawa na fujo za kisiasa, ni sawa na kusikia BAKWATA wanataka kumuona raisi nayo Jumuiya ya Kikirsto Tanzania CCT wakaomba waingie gari moja.

Mbona hiyo B iliwahi kulalamika kuhusu MoU ya C. Lakini wakaambiwa njooni kivyenu kama mtakataliwa!

Hivi hili la kumwomba prezidaa akutane na vyama vingine zaidi ilikuwa ajenda ya CC ya CCM? au wamekurupuka tu katika hali ya kutapatapa?
 
Haya maneno ni muhimu sana!!!!

CHADEMA mlikosea kutoweka nagalau mjumbe mmoja kutoka NCCR-MAGEUZI!

Mwisho, Tungependa kumshauri Rais kuwa pamoja na kukutana na CHADEMA atenge muda ili aweze kukutana na makundi mengine mbalimbali ya kijamii yenye maoni na malalamiko kabla ya kusaini sheria iliyopitishwa na Bunge kwa maslahi ya taifa letu na ili kuweza kuleta utengamano wa kitaifa.
 
Tatizo ninaloliona ni CHADEMA KUONGOZA NCHIII KWA MLANGO WA NYUMA,
Mtake msitake nchi hiyo hasa siasa inaongozwa na CDM .?Je kama CDM wasingeomba kukutana na Rais Je KAMATI KUU INAYOKUTANA INGEJADILI NINI.?
 
Haya maneno ni muhimu sana!!!!

CHADEMA mlikosea kutoweka nagalau mjumbe mmoja kutoka NCCR-MAGEUZI!
Watu mnakosea ile ni kamati ndogo ya CHADEMA kwa msisitizo na iliteuliwa kutoka miongoni mwa wajumbe wa kamati kuu, sasa sioni kwanini ichanganywe na watu ambao si wajumbe mbaya zaidi si wanachama.
 
Kwa tamko hili....
1. CCM imeendelea kusibitishiwa kuwa hata wakae watu kibao kwenye hiyo CC yao, mawazo yao yateendelea kuwa mafupi tuu. this means wale wote walio toa na walio kubariana na lile tamko wote wana "MAWAZO MGANDO"... short lived thinkers...
2. Indirectly Chedema wameviokoa vyama vingine ambavyo vingelikurupukia na kukubariana na tamko la CCM..... LIST OF TRANSIENT THINKERS ingeendelea kuwa ndefu.
3. Kwa jinsi CCM ilivyo...(kwa kutumia UWT na THINK-TANKS). Hii ina conclude kuwa "GENERALY TANZANIA HAS NO ANY SPECIAL THINK-TANK"
4.
5.
....
 
Tatizo ninaloliona ni CHADEMA KUONGOZA NCHIII KWA MLANGO WA NYUMA,
Mtake msitake nchi hiyo hasa siasa inaongozwa na CDM .?Je kama CDM wasingeomba kukutana na Rais Je KAMATI KUU INAYOKUTANA INGEJADILI NINI.?
Ndiyo maana nasema CC ya CCM imekurupuka imerukia mada ambayo haikuwa ajenda yao, sielewi CCM walikaa muda gani na kujadili kwa kina implications za kusudio la Chadema.

Kama unavyosema nchi hii inaongozwa na Chadema, mathalani leo Chadema wageuke waseme tumeghairi kwenda utasikia CCM nao wanaahirisha sijui watawatangazia pia vyama vingine sijui. Ushauri wangu kwa CCM na CC yake, it seems you are being driven by Chadema you can't make a big desicion like this over a single night, wao Chadema walikaa kwanza wakaleta hoja pros and cons za kukutana na rais zikachambuliwa kwa hiyo wanajua faida na madhara yake and they are (i think) prepared for that.
 
Back
Top Bottom