Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Sakata la Dowans linaendelea kuigawa CHADEMA na sasa inakaribia kupasuka makundi matatu. Lipo kundi linaolotaka mitambo hiyo inunuliwe likiongozwa na Zitto Kabwe. Kundi la pili ni lile lenye msimamo wa kati likiongozwa na Dr Slaa. Kundi la tatu ni lile linalopinga ununuzi wa mitambo hiyo, katika kundi hilo yuko Freeman Mbowe, Tundu Lissu, John Mnyika na John Mrema. Jitihada za haraka zinahitajika kuwatoa toka ICU
.......ndiyohiyo
.......ndiyohiyo