Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Dr. Slaa, afadhali umenisaidia kwa hili mwenyewe nimeshtuka sana. Kayaropoka haya katika juhudi za kuwatetea Magamba. Hata hivyo Mungu amsaidie.
uyu nipe tano nadhani ana matatizo ya akili, kwani hao wenye ukimwi hawapigi kura? watamuhukumu mwaka 2015