Mkuu una maneno machafu sana.Nisije nikakujibu ukanisababishia BAN kama ulivyomsababishia MOLEMO
Mkuu inamaana hii TAKATAKA ndo ilimsababishia Molemo ban? Asee nimemmiss sana Molemo!!
Back2topic:
Ongeleni sana CDM kwa muendelezo wa M4C!! Karibuni sana na Bukoba Vijijini bado wamelala!! "Mungu awe nanyi!!"