nashy
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 679
- 141
CCM wameshinda kwa asilimia 61 (61%) Uzini, Chadema Asilimia 4 (4%)
Chadema imeshika nafasi ya pili, hongera Chadema
Sijakuelewa mkuu
CCM wameshinda kwa asilimia 61 (61%) Uzini, Chadema Asilimia 4 (4%)
Chadema imeshika nafasi ya pili, hongera Chadema
Fuatilia=fatilia?!, ikulu=ikuru?!hatuzijui= atuzijui. Kweli umetoka Nyaweshi,Kharumwa huwezi kujua umefungwa ubongo na ******* pole!nimefatilia habari hizi nimegundua kuwa akija mwehu mmoja na akatudanganya kuwa jeshi limeasi wana jamii forum tutamiamini na kumpa pongezi , au akituambia chadema wapewewa urais jk kakubali kutoka ikuru tutakubali haraka, muhimu habari iwe na chadema ndani, mimi ni mkaazi wa kharumwa, kitongoji cha nyaweshi sasa habari hizi mbona atuzijui za chadema kuisambaratisha ccm jimbo la nyang'wale