Chadema yaipa polisi saa 24

crashwise@umeona ebu watu wawe makini kama ni chanzo chako basi copy kama ilivyo hii ni upotoshaji,.
 
Mimi nitaangalia tu kwenye TV.... :wink2:

Maandamano ya Chadema huwa yanaonyeshwa live kwent TV? Umenikumbusha ule usemi "This revolution will not be televised."
 
Maandamano ya Chadema huwa yanaonyeshwa live kwent TV? Umenikumbusha ule usemi "This revolution will not be televised."


Yakiwa peaciful hua hayaoneshwi (sijui yanakua hayana mvuto?); Kukiwa na vurugu lazima Umesahau Mwanza na Mbeya?
 
AshaDii,
You got it wrong my dear.
Tangu lini umesikia ama kuona maandamano yasiyoingiliwa na polisi yakaambatana na vurugu na uporaji kama unavyojaribu ku potray? Hapa nazungumzia maandamano yanayoitishwa na chadema, nikumbushe ilikuwa lini na wapi?

Duniani kote njia ya kistaarabu ya kutoa mawazo/maoni ama kupaza sauti juu ya jambo/mambo fulani yanayokwenda kinyume na utaratibu. Short of that ni msituni ambako Dr. Slaa haitaji kwenda huko.
Bila shaka utakuwa umesikia shughuli ya ''walk to work'', je Dr. Besigye anashauriwa na Dr. Slaa kuandamana!?
Na mwisho usisahau kwamba kuandamana ni haki ya kikatiba, wacha Slaa atekeleze matakwa ya katiba ya JMT.
 
Yakiwa peaciful hua hayaoneshwi (sijui yanakua hayana mvuto?); Kukiwa na vurugu lazima Umesahau Mwanza na Mbeya?

Yakiwa peaceful yanaweza kuonyeshwa. Tatizo mara nyingi maandamano hayafiki the destination point na hilo ndilo tatizo.
 
Dr. Slaa thrives on Vurugu (at least that is my IMO); Kuandamana mimi sioni kua ni tatizo sana... Kwa jinsi Serkali yetu ilivo na ilipofika huwezi pata kitu bila making noise. However Slaa ananiboa pale ambapo likitokea tatizo huweza li-manipulate in whatever way na kuwaambia na kuwashawishi wananchi kuandamana. Unfortunately yeye mradi wameandamana ndio raha yake; lakini hajaweka vigezo vya maandamano kua yawe yanakua vipi.... Kwamba walau hao vijana (maana ndio wengi); wanapo andamana basi kweli wastick kwenye kuandamana (si wamsikiliza sana) na sio katika kuwafanyia fujo fellow wananchi... In other cases watavamia maduka, haribu magari fanya fujo (as if ni genge la majambazi) badala ya kuandamana peacifully.....

Mimi naamini ana connections... na naamini lazima there is a better way of tackling the issue nje ya maandamano.
Very Interesting...
 
Hizi habari EMT umezipata Migungani leo kwenye Kampeni za CDM? au ni magazeti
unatuchanganya hili jukwaa naliogopa maana tumeonywa habari hizi ziwe za kweli
Crashwise kakuonya na mimi nasema kwa wameru ng'o hawaandamani ni wanafiki kuliko warangi na wapare,
hapo wanawalamba tu na siku ya kura tukutane saa hizi 01/April utaniambia
 
AshaDii,
You got it wrong my dear.
Tangu lini umesikia ama kuona maandamano yasiyoingiliwa na polisi yakaambatana na vurugu na uporaji kama unavyojaribu ku potray? Hapa nazungumzia maandamano yanayoitishwa na chadema, nikumbushe ilikuwa lini na wapi?

Duniani kote njia ya kistaarabu ya kutoa mawazo/maoni ama kupaza sauti juu ya jambo/mambo fulani yanayokwenda kinyume na utaratibu. Short of that ni msituni ambako Dr. Slaa haitaji kwenda huko.
Bila shaka utakuwa umesikia shughuli ya ''walk to work'', je Dr. Besigye anashauriwa na Dr. Slaa kuandamana!?
Na mwisho usisahau kwamba kuandamana ni haki ya kikatiba, wacha Slaa atekeleze matakwa ya katiba ya JMT.


Maybe I got it wrong or maybe I am driven more on issues ambazo nikitaja hapa itaonesha kua ni Conspiracy theories lakini sio CDM wahusika moja kwa moja. Ukinisoma vizuri utagundua kua sijakataa moja kwa moja kua ni mabaya. Ila nimesema kua hua sipendi turn of events hayo maandamano yakitokea. Of coz saa ingine tatizo lipo kwa Serkali, ila mara nyingi wale vijana ambao uhusika ndio uharibu.

Alafu Besigye si ndio wale wale?? Mimi namuona yupo more kutafuta umaarufu kuliko hata Siasa yenyewe! I believe unakumbuka event na reactions zake mara ya mwisho wa uchaguzi hadi ikasemekana kua alikimbilia Kenya. Yote ilikua based more on popularity than politics. (Walau that was my observation...)
 
chadema wasahaulifu sana ni hawa hawa polisi au wengine ngojea mabomu ya machozi na risasi za rasha rasha
 
chadema wasahaulifu sana ni hawa hawa polisi au wengine ngojea mabomu ya machozi na risasi za rasha rasha
MAMA POROJO, kwanza kwa heshima na taadhima naomba ubadilishe hiyo avatar yako, inakupunguzia heshima kwani inatoa picha mbaya na ni rahisi wengi kuihusisha na mawazo unayoyatoa. Pili kama jibu la serikali hii kwa madai ya Chadema ni mabomu ya machozi na risasi, hii ni hatari kabisa na hiyo serikali kabisa haitufai.

Ni aibu kwa wananchi yeyote, pamoja na MAMA POROJO, kufurahia kitendo hicho cha kifashisti badala ya kukemea kwani leo kwangu kesho kwako, dunia ndivyo ilivyo. Serikali yoyote duniani ambayo inaamua kutumia nguvu ya dola kuzima madai ya msingi ya raia wake ni mufilisi, haifai na haina uhalali wa kubaki madarakani.
 
Yakiwa peaciful hua hayaoneshwi (sijui yanakua hayana mvuto?); Kukiwa na vurugu lazima Umesahau Mwanza na Mbeya?

AshaDii,
Hivi zile purukushani za mwanza na mbeya yalikuwa ni maandamano, vurugu au mapambano?
Inavyoonekana yalikuwa ya kisiasa(maana wanasiasa ndo wanapenda kuandamana ili kujitafutia popularity), unafahamu viongozi walioyaratibu?
 
Back
Top Bottom