Chadema yaijaribu serikali.

We have to learn to balance between our political wishes and the wishes of the public in general. CCM ni chama cha kisiasa kama Chadema, CUF etc. Kwanini wanataka kuongoza hata umeya kwa kulazimisha? Hivi wana siasa wanajua thamani ya kumwaga damu ya mtu bila utaratibu?
 
baba, mwana roho mtakatifu muhurumie huyu, what a shame, wewe darasa la ngapi?
 
Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga vijana wao barabarani, wakidhani kuwa hotuba ile ilikuwa ni tishia toto. Mattokeo ya tishia toto yamezaa tishia kubwa, Je sasa ndio viongozi wa CHADEMA wamefurahi au wameshinda? Hiloni swali kila mtanzania anajiuliza.

Mara baada ya kwisha uchaguzi, niliandika barua kwa waJF na watanzania wote nilisisitizia umuhimu wa kusahau purukushani za uchaguzi na kujenga umoja wa kitaifa. Moja kati ya hatua kubwa ilikuwa ni kuacha mazingira ya kikampeni katika maisha yetu ya kila siku. Kwa bahati nzuri vyama vingine vyote vya kisiasa vilielewa umuhimu wa kuacha kampeni na kuendelea kujenga nchi, lakini CHADEMA waliendelea na kampeni masaa 24 kwa siku, siku saba kwa wiki na mwezi hata mwezi. Kwa CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kujitangaza kichama, bila kujali maafa yanayoweza kujitokeza. Je huu ni uungwana?

UUngwana au si uungwana Viongozi wa CHADEMA hawajali, la muhimu kwao wasikike ndani na nje kuwa eti wagombea demokrasia TZ, demokrasia ambayo hata ndani ya chama chao haipo. Baada ya uchaguzi walidhani wangeungwa mkono na vyombo vya kimataifa kwa kutomtambua Rais, lakini hilohalikufanikiwa kwani hawakuungwa mkono hata na vyama vya upinzani Tanzania.

CHADEMA IMENUNULIWA NA VIONGOZI WA ARUSHA NA MOSHI.

Licha ya kuwa na wabunge katika mikoa 8, lakini bado CHADEMA imemilikiwa na viongozi wachache wa mikoa ya Arusha na Moshi. Hayo yamethibitishwa na matukio mawili makubwa, ikiwa pamoja na wabunge 10 kutokubaliana na uamuzi wa viongozi hao wa Arusha/Moshi kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais Bungeni. Na la pili ni malalamiko ya wanachama wa Mbeya juu ya ugawaji wa viti maalum. Si siri kuwa asilimia 50 imekwenda kwa mkoa mmoja wa tu. Na kwa mara nyingine viongozi hao hao wameshinyikiza uongozi wa CHADEMA eti ukubaliane na maandamano hayo yasio na miguu wala kichwa.

SERIKALI IMESHAKUBALI UUNDAJI WA KATIBA MPYA.

Ikiwa kama maandamano yalilenga kuishinyikiza serikali kuunda katiba mpya, si madai ya m,singi kabisa kwani Rais ambaye ni mwenye kiti wa chama tawala ameshakubali hilo katika hutuba yake ya mwaka mpya. Hata siku kumi hazijapita toka Rais atoe hotuba hiyo, wenzetu wako barabarani. Wanachohitaji ni kimoja, pindi katiba mpya ikitengenezwa basi watajitoa kifua mbele na kusema bila sisi hili lisingefanyika. Na kwa mawazo yao mafupi, hii ndio itakuwa tiketi yao ya kuingia IKULU 2015. Hii ni akili fupi, hili si tusi lakini sioni neno jingine la kuwafananisha hwa watu. Kama kweli hawa CHADEMA wapo makini, wangemtuma mjumbe wao apate taarifa kamili toka kwa serikali ni jinsi gani ratiba ya utengenezaji wa katiba mpya ilivyopangwa. Lakini hgili la kuandamana barabarani wakati mambo yapo wazi, ni utafutaji wa umaarufu kwa bei rahisi na kwa kuwatosa wanachama wao.

MAAFA YANGEKUWA MAKUBWA ZAIDI KAMA MNAANDAMANO YANGERUHUSIWA.

Kwa muujibu wa taarifa zilizopatikana, CHADEMA waliandaa kuchoma maduka na soko kuu moto, kuua wanachama na viongozi wa CCM, kuvamia vituo vya polisi na kuteka nyara silaha ilimradi kuonekane kuwa mkoa uko katika vita. Machafuko hayo yangeuwa zaidi ya watu 100 na kuleta mabilioni ya hasara. Kwa kulielewa hilo, Said Mwema akayazuia maandamano kufanyika na kuliandaa jeshi la polisi kikamilifu. Na kwa mpango huu makini, ndio vurugu zikakomeshwa kule kwenye mzizi, na kutoleta maafa makubwa. Tulishukuru jeshi la polisi.

CHADEMA KAMA chama cha upinzani kinajiua pole pole, na kaburi lake li karibu sana hata umri wake hautafika mpaka 2015 kama wanachama wanavyofikiria. Hatutaruhusu kamwe Tanzania itekwe na mikoa miwili na kuiweka Tanzania kuwa Somali ya Pili kwa tamaa ya madaraka ya viongozi hao. Katika kudumisha amanni na kuwa na CHADEMA wakati huo huo, ni muhimu kufanya juhudi kuhamisha uongozi wa CHADEMA toka Arusha/Moshi kwenda mikoa mingine. Na hilo ndio mkakati wetu kwa hivi sasa, kwani vyama vya upinzani tunavihitaji na sio vyama vya vurugu.

Zawadi Ngoda,
Am sorry, the thematic meaning of what you have wrote sounds that you have a caged mind about peoples' politics and development.
 
Ujinga ni maradhi mabaya sana kuliko magonjwa, heri mtu uugue kipindupindu kuliko kuugua magonjwa yanayowasumbua akina Zawadi Ngoda na Zomba! Majinga hayajui hata maandamano ya Arusha yalikuwa kwa ajili ya nini, yanajichanganya na kushabikia ujinga. Shule za Kata zitapunguza wagonjwa wa aina hii ili baada ya 2015 TUANZE KUJENGA NCHI UPYA.
 
Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga vijana wao barabarani, wakidhani kuwa hotuba ile ilikuwa ni tishia toto. Mattokeo ya tishia toto yamezaa tishia kubwa, Je sasa ndio viongozi wa CHADEMA wamefurahi au wameshinda? Hiloni swali kila mtanzania anajiuliza.

Mara baada ya kwisha uchaguzi, niliandika barua kwa waJF na watanzania wote nilisisitizia umuhimu wa kusahau purukushani za uchaguzi na kujenga umoja wa kitaifa. Moja kati ya hatua kubwa ilikuwa ni kuacha mazingira ya kikampeni katika maisha yetu ya kila siku. Kwa bahati nzuri vyama vingine vyote vya kisiasa vilielewa umuhimu wa kuacha kampeni na kuendelea kujenga nchi, lakini CHADEMA waliendelea na kampeni masaa 24 kwa siku, siku saba kwa wiki na mwezi hata mwezi. Kwa CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kujitangaza kichama, bila kujali maafa yanayoweza kujitokeza. Je huu ni uungwana?

UUngwana au si uungwana Viongozi wa CHADEMA hawajali, la muhimu kwao wasikike ndani na nje kuwa eti wagombea demokrasia TZ, demokrasia ambayo hata ndani ya chama chao haipo. Baada ya uchaguzi walidhani wangeungwa mkono na vyombo vya kimataifa kwa kutomtambua Rais, lakini hilohalikufanikiwa kwani hawakuungwa mkono hata na vyama vya upinzani Tanzania.

CHADEMA IMENUNULIWA NA VIONGOZI WA ARUSHA NA MOSHI.

Licha ya kuwa na wabunge katika mikoa 8, lakini bado CHADEMA imemilikiwa na viongozi wachache wa mikoa ya Arusha na Moshi. Hayo yamethibitishwa na matukio mawili makubwa, ikiwa pamoja na wabunge 10 kutokubaliana na uamuzi wa viongozi hao wa Arusha/Moshi kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais Bungeni. Na la pili ni malalamiko ya wanachama wa Mbeya juu ya ugawaji wa viti maalum. Si siri kuwa asilimia 50 imekwenda kwa mkoa mmoja wa tu. Na kwa mara nyingine viongozi hao hao wameshinyikiza uongozi wa CHADEMA eti ukubaliane na maandamano hayo yasio na miguu wala kichwa.

SERIKALI IMESHAKUBALI UUNDAJI WA KATIBA MPYA.

Ikiwa kama maandamano yalilenga kuishinyikiza serikali kuunda katiba mpya, si madai ya m,singi kabisa kwani Rais ambaye ni mwenye kiti wa chama tawala ameshakubali hilo katika hutuba yake ya mwaka mpya. Hata siku kumi hazijapita toka Rais atoe hotuba hiyo, wenzetu wako barabarani. Wanachohitaji ni kimoja, pindi katiba mpya ikitengenezwa basi watajitoa kifua mbele na kusema bila sisi hili lisingefanyika. Na kwa mawazo yao mafupi, hii ndio itakuwa tiketi yao ya kuingia IKULU 2015. Hii ni akili fupi, hili si tusi lakini sioni neno jingine la kuwafananisha hwa watu. Kama kweli hawa CHADEMA wapo makini, wangemtuma mjumbe wao apate taarifa kamili toka kwa serikali ni jinsi gani ratiba ya utengenezaji wa katiba mpya ilivyopangwa. Lakini hgili la kuandamana barabarani wakati mambo yapo wazi, ni utafutaji wa umaarufu kwa bei rahisi na kwa kuwatosa wanachama wao.

MAAFA YANGEKUWA MAKUBWA ZAIDI KAMA MNAANDAMANO YANGERUHUSIWA.

Kwa muujibu wa taarifa zilizopatikana, CHADEMA waliandaa kuchoma maduka na soko kuu moto, kuua wanachama na viongozi wa CCM, kuvamia vituo vya polisi na kuteka nyara silaha ilimradi kuonekane kuwa mkoa uko katika vita. Machafuko hayo yangeuwa zaidi ya watu 100 na kuleta mabilioni ya hasara. Kwa kulielewa hilo, Said Mwema akayazuia maandamano kufanyika na kuliandaa jeshi la polisi kikamilifu. Na kwa mpango huu makini, ndio vurugu zikakomeshwa kule kwenye mzizi, na kutoleta maafa makubwa. Tulishukuru jeshi la polisi.

CHADEMA KAMA chama cha upinzani kinajiua pole pole, na kaburi lake li karibu sana hata umri wake hautafika mpaka 2015 kama wanachama wanavyofikiria. Hatutaruhusu kamwe Tanzania itekwe na mikoa miwili na kuiweka Tanzania kuwa Somali ya Pili kwa tamaa ya madaraka ya viongozi hao. Katika kudumisha amanni na kuwa na CHADEMA wakati huo huo, ni muhimu kufanya juhudi kuhamisha uongozi wa CHADEMA toka Arusha/Moshi kwenda mikoa mingine. Na hilo ndio mkakati wetu kwa hivi sasa, kwani vyama vya upinzani tunavihitaji na sio vyama vya vurugu.

mtindio wa ubongo unakusumbua,ngoja 2015 ifike uone kama haujafa kwa presha
 
Licha ya onyo lililotolewa na mh Rais katika salaam zake za mwaka mpya kwa vyama vya siasa kuacha kuendelea na Kampeni, halikusikika kwa viongozi wa CHADEMA. Na jaribio kubwa lilikuwa ni kuwamwaga vijana wao barabarani, wakidhani kuwa hotuba ile ilikuwa ni tishia toto. Mattokeo ya tishia toto yamezaa tishia kubwa, Je sasa ndio viongozi wa CHADEMA wamefurahi au wameshinda? Hiloni swali kila mtanzania anajiuliza.

Mara baada ya kwisha uchaguzi, niliandika barua kwa waJF na watanzania wote nilisisitizia umuhimu wa kusahau purukushani za uchaguzi na kujenga umoja wa kitaifa. Moja kati ya hatua kubwa ilikuwa ni kuacha mazingira ya kikampeni katika maisha yetu ya kila siku. Kwa bahati nzuri vyama vingine vyote vya kisiasa vilielewa umuhimu wa kuacha kampeni na kuendelea kujenga nchi, lakini CHADEMA waliendelea na kampeni masaa 24 kwa siku, siku saba kwa wiki na mwezi hata mwezi. Kwa CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kujitangaza kichama, bila kujali maafa yanayoweza kujitokeza. Je huu ni uungwana?

UUngwana au si uungwana Viongozi wa CHADEMA hawajali, la muhimu kwao wasikike ndani na nje kuwa eti wagombea demokrasia TZ, demokrasia ambayo hata ndani ya chama chao haipo. Baada ya uchaguzi walidhani wangeungwa mkono na vyombo vya kimataifa kwa kutomtambua Rais, lakini hilohalikufanikiwa kwani hawakuungwa mkono hata na vyama vya upinzani Tanzania.

CHADEMA IMENUNULIWA NA VIONGOZI WA ARUSHA NA MOSHI.

Licha ya kuwa na wabunge katika mikoa 8, lakini bado CHADEMA imemilikiwa na viongozi wachache wa mikoa ya Arusha na Moshi. Hayo yamethibitishwa na matukio mawili makubwa, ikiwa pamoja na wabunge 10 kutokubaliana na uamuzi wa viongozi hao wa Arusha/Moshi kutoka nje wakati wa hotuba ya Rais Bungeni. Na la pili ni malalamiko ya wanachama wa Mbeya juu ya ugawaji wa viti maalum. Si siri kuwa asilimia 50 imekwenda kwa mkoa mmoja wa tu. Na kwa mara nyingine viongozi hao hao wameshinyikiza uongozi wa CHADEMA eti ukubaliane na maandamano hayo yasio na miguu wala kichwa.

SERIKALI IMESHAKUBALI UUNDAJI WA KATIBA MPYA.

Ikiwa kama maandamano yalilenga kuishinyikiza serikali kuunda katiba mpya, si madai ya m,singi kabisa kwani Rais ambaye ni mwenye kiti wa chama tawala ameshakubali hilo katika hutuba yake ya mwaka mpya. Hata siku kumi hazijapita toka Rais atoe hotuba hiyo, wenzetu wako barabarani. Wanachohitaji ni kimoja, pindi katiba mpya ikitengenezwa basi watajitoa kifua mbele na kusema bila sisi hili lisingefanyika. Na kwa mawazo yao mafupi, hii ndio itakuwa tiketi yao ya kuingia IKULU 2015. Hii ni akili fupi, hili si tusi lakini sioni neno jingine la kuwafananisha hwa watu. Kama kweli hawa CHADEMA wapo makini, wangemtuma mjumbe wao apate taarifa kamili toka kwa serikali ni jinsi gani ratiba ya utengenezaji wa katiba mpya ilivyopangwa. Lakini hgili la kuandamana barabarani wakati mambo yapo wazi, ni utafutaji wa umaarufu kwa bei rahisi na kwa kuwatosa wanachama wao.

MAAFA YANGEKUWA MAKUBWA ZAIDI KAMA MNAANDAMANO YANGERUHUSIWA.

Kwa muujibu wa taarifa zilizopatikana, CHADEMA waliandaa kuchoma maduka na soko kuu moto, kuua wanachama na viongozi wa CCM, kuvamia vituo vya polisi na kuteka nyara silaha ilimradi kuonekane kuwa mkoa uko katika vita. Machafuko hayo yangeuwa zaidi ya watu 100 na kuleta mabilioni ya hasara. Kwa kulielewa hilo, Said Mwema akayazuia maandamano kufanyika na kuliandaa jeshi la polisi kikamilifu. Na kwa mpango huu makini, ndio vurugu zikakomeshwa kule kwenye mzizi, na kutoleta maafa makubwa. Tulishukuru jeshi la polisi.

CHADEMA KAMA chama cha upinzani kinajiua pole pole, na kaburi lake li karibu sana hata umri wake hautafika mpaka 2015 kama wanachama wanavyofikiria. Hatutaruhusu kamwe Tanzania itekwe na mikoa miwili na kuiweka Tanzania kuwa Somali ya Pili kwa tamaa ya madaraka ya viongozi hao. Katika kudumisha amanni na kuwa na CHADEMA wakati huo huo, ni muhimu kufanya juhudi kuhamisha uongozi wa CHADEMA toka Arusha/Moshi kwenda mikoa mingine. Na hilo ndio mkakati wetu kwa hivi sasa, kwani vyama vya upinzani tunavihitaji na sio vyama vya vurugu.


Muda utaamua nani yupo sahihi kati ya cdm na serikali pale arusha
 
Hii ndio CHADEMA iliyotaka kupewa uongozi wa nchi. Ukitaka kujua wanaCHADEMA soma hoja kama hii.

NO COMENT.

Ulitaka ccm watumie hila juu ya suala la umeya Arusha kisha wanyamaziwe hata kama wana polisi na JWTZ? Hizo nyakati za kudumu kwa fikra za ccm pekee zimekwisha!
 
Zawadi una matatizo makubwa mtani wangu. Mimi nawaheshimu sana thatha pale Thame umemwacha nani home ukaja kufanya biashara ya kujiuza huku . Ni aibu bana au kiangazi sana pale hamna sehemu ya kulima mpaka uwaaibishe ndugu zako humu ndo upate raha?.

KAMA CHADEMA ingekuwa imepanga kufanya anayosema ZAWADi siku ile nafasi ilikuwa kubwa kuliko siku zote kwani Polisi walizidiwa kwa asilimia karibu mia na ndo maana wakaanza tumia risasi za moto. Soko kuu nao walitoka kuongoza nguvu kwa wanamapinduzi kupambana na polisi. Wana arusha wana akili na wanajua walichokuwa wanataka siyo uharibifu. Jengo lililoungua la Salum Ally lilipigwa mabomu na polisi na siyo raia kwani liliungua ghorofa ya kwanza na ushahidi upo. Yaani kama watu walitaka kufanya uharibifu CRDB ingeteketea, Maduka yangeteketea, magari yangeunguzwa na ingekuewa balaa. Nasema hivi kwa sababu baada ya polisi kuzidiwa nguvu wali retreat kulinda kituo cha polisi huku nyuma waandamanaji wengi wakibaki peke yao na hawakuguza mali ya mtu kwani halikuwa lengo lao. Mimi nasema kama polisi wasingefanya fujo bado uharibifu ungekuwa mdogo na inawezekana usingekuwepo kabisa. Kumbuka vurugu kubwa zilitokea wakati CHADEMA ilihamasisha wanachama kwenda polisi kushinikiza kuachiwa viongozi wao. Ina maana kama hawa viongozi wasingetiwa ndani mkutano ungemalizika kwa kila mtu kwenda makwao ila hasira zilitokea pale walioitisha mkutano waliposwekwa ndani. Unapomweka aliyeitisha mkutano ndani wakati wanachama wamekusanyika kuwasikiliza unategemea kitu gani. uvumilivu wa wana CHADEMA wa kusubiri viongozi wao uliisha

Kumbe hali halisi mnaijua. Eti pengine madhara yangetokea kidogo, lakini kwa nini yatokee. Maana kwa maoni yako ni kuwa ikiwa POLISI WASINGEWASHAMBULIA WAANDAMANAJI BADO KULIKUWA NA UWEZEKANO WA KUTOKEA MADHARA.

Tunahitaji maandamano yasiyo na madhara kwa watu. Na kumekuwa na maandamanomengi tu yasiyo na madhara. Huhitaji kuleta madhara, mnachohitajiwa ni kutoa ujumbe.
 
Naona kama vile sijajua nini kimeandikwa na juha huyu! Hivi haya si yameandikwa na Makamba? maana mawazo ya makamba na mawazo ya huyu bwana huwa siku zote yanafanana vile.
 
Zawadi umezidi upumbavu,ni ujinga kusema cdm wanataka kuungwa mkono na mataifa ya nje,cdm wanamtegemea Mungu na nguvu ya Uuma,na ndio maana kila jambo lzima wananchi wajue,ni uwendawazimu kuamini kuwa cdm wangevamia soko na maduka,kwa mwenye akili angelinda sehemu inayovamiwa na si kuvunja maandamano ya amani tena hata baada ya kutembea km 3,lakini pia igp hana mamlaka kisheria na kiutaratibu wa kipolisi kuingilia na kuvunja maandamano ni issue ya rpc na si igp
ni saa ya ukombozi,,,,
 
Kumbe hali halisi mnaijua. Eti pengine madhara yangetokea kidogo, lakini kwa nini yatokee. Maana kwa maoni yako ni kuwa ikiwa POLISI WASINGEWASHAMBULIA WAANDAMANAJI BADO KULIKUWA NA UWEZEKANO WA KUTOKEA MADHARA.

Tunahitaji maandamano yasiyo na madhara kwa watu. Na kumekuwa na maandamanomengi tu yasiyo na madhara. Huhitaji kuleta madhara, mnachohitajiwa ni kutoa ujumbe.

Hizo habari anazodai IGP Mwema kuwa za kiintelijensia ni kutoka kwa Makamba, Chiligati, Kinana, & co . Kazi ya Polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zao na si kuua raia wema ili mradi tu sio wana ccm! Kule Shinyanga OCD alizabwa makofi na mwana-CCM lakini hatukuona hatua yoyote ili mradi tu ni mwenzao! Watz wanazidi kuelewa taratibu mpaka hapo "Gbagbo" (CCM) atakapoondoka ikulu!
 
We Ngoda. Hatuna chochote cha kusikiliza wewe. Point zako ni utumbo mwingine wa Mwema. Hamna lolote. Na kwa taarifa yako CCM imeweka babu, baba, mtoto na mjukumu madarakani hamna anayelalamikia maana ndio uozo tunaotaka kuutoa. Sasa wewe unakuja na utumbo wako. No oe will listen you. Kula kona na intelenjetsia yako. CHADEMA siku zote watapeta na hicho kifo unachozungumza wewe utakufa wewe na CHADEMA kitabaki pale pale
 
Zawadi you may need big help!! lakini kama ni vile viti kadhaa vya huyo JK wenu bado vipo lakini itabidi akakague hiyo kitu kwanza kama inalipa i think thats what u need ili ufanikiwe otherwise inabidi uende mirembe mwenyewe..... MTU GANI HUNA AKILI KABISAA
 
Back
Top Bottom