Ngumu kumeza, nakupongeza kwa juhudi ulizozionyesha kukipigia kampeni chama chako jaribu tena uchaguzi mwingine labda utafanikiwa.sio rahisi hivyo labda kama kura zinapigiwa JF
Confirm whether I can now open my champagne bottle -- please confirm fast!
Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.
Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
My Take:
Bila ya shaka Uongozi wa taifa wa CDM hauna sababu ya kujiuzulu kwa wakati huu! Upepo umevuma upande wao na mtumbwi unaelekea kwenye ushindi 2015:
Uliaga unaenda kulala vipi tumbo linakuuma.Mbona sredi zote zinazohusu uchaguzi zinaunganishwa lakini hii ambayo ni tetesi tu inaachwa?
Huu ni udhalilishaji wa JF, hata kama ni MMM!
Au zinapigwa monduli kwa bwana ako!!sio rahisi hivyo labda kama kura zinapigiwa JF
Ritz alijiapiza kwamba CDM ikishinda Arumeru atatembea uchi kuanzia Ubungo mataa hadi Kimara Bungokwa. Sasa tunataka aje hapa JF atuambie ni lini atafanya hiyo safari ili tukamshuhudie. Ritz come back my friend. Hii ndio siasa, ulituahidi tunaomba utimize ahadi yako.
Ritz alijiapiza kwamba CDM ikishinda Arumeru atatembea uchi kuanzia Ubungo mataa hadi Kimara Bungokwa. Sasa tunataka aje hapa JF atuambie ni lini atafanya hiyo safari ili tukamshuhudie. Ritz come back my friend. Hii ndio siasa, ulituahidi tunaomba utimize ahadi yako.
are you sure? au fools day maana siku yale imechanganyika na hiyo day watu sasa wanaitumia vibaya.