TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Ritz alijiapiza kwamba CDM ikishinda Arumeru atatembea uchi kuanzia Ubungo mataa hadi Kimara Bungokwa. Sasa tunataka aje hapa JF atuambie ni lini atafanya hiyo safari ili tukamshuhudie. Ritz come back my friend. Hii ndio siasa, ulituahidi tunaomba utimize ahadi yako.