nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
you guys are dreaming!
you will never remove CCM by demonstration! NEVER on EARTH!
Tafuteni mbinu nyingine. Njia bora zaidi ni kuiba kura wakati wa uchaguzi!!
Na hapa swali ni kwamba: mtaweza kuiba kura ilhali anayesimamia, anayehesabu na anayetangaza wooooooooote wanateuliwa na mshindani wenu?!!!
kama maandamano hayatawatoa CCM, sasa mbona kuanzia mwenyekiti wenu analalamika na kila mbunge na wakuu wa mikoa na kila aina ya NGO za CCM mnalalamika?