Mandamano yaliyofanywa kanda ya ziwa na kisha kuhamia nyanda za juu kusini ni pigo kubwa kwa CCeM, kila unapoweza kupita katika maeneo hayo watu kwa takribani asilimia 80 wanazungumzia chama pekee kinachotegemea kuwarejeshea matumaini wananchi wake ni CHADEMA,
Wanajamvi mtaungana nami kwa kurejea kikao cha bunge kinachoendelea sasa, kila mbunge wa CCeM hatoi hoja kwanza ni mpaka aelezee maumivu yaliyowapata kutokana na mandamano hayo,
CHADEMA hao jamaa mmewatandika ngumi ya uso, mkimaliza bunge ni kuongeza nguvu ya mandamano mara mbili zaidi ili CCM itokomezwe kabisa , kwa hali ninavyoiona CCeM itabaki simulizi kwamba kilikuwepo chama Tanzania kilichokuwa kinaitwa CCem
Wanajamvi mtaungana nami kwa kurejea kikao cha bunge kinachoendelea sasa, kila mbunge wa CCeM hatoi hoja kwanza ni mpaka aelezee maumivu yaliyowapata kutokana na mandamano hayo,
CHADEMA hao jamaa mmewatandika ngumi ya uso, mkimaliza bunge ni kuongeza nguvu ya mandamano mara mbili zaidi ili CCM itokomezwe kabisa , kwa hali ninavyoiona CCeM itabaki simulizi kwamba kilikuwepo chama Tanzania kilichokuwa kinaitwa CCem