nasikia ccm wametangaza kujitoa kugombea tena majimbo yote ya kibaha yaani mjini na vijijini.
ila sina hakika kama ni kweli.
tutumie picha za huko basi tupate kuziona.
huu moto hauzimi hapa Mbeya jana uchaguzi wa vingozi ngazi ya kata ulifanyika katika kata zilizosalia na moto unaendelea hadi ngazi ya shida kilicho nifurahisha ni idadi ya wagomea na wapiga kuwa wengi huku amani ikitawala nimefuatilia karibu sehemu zote kulikuwa na amani