No!Mwanga ya Kilimanjaro.Ni njiani kutokea Moshi kama unaenda Dar,ama Tanga ama Same etc etc.Mwanga ni wilaya kama Moshi.Kwahiyo wilaya ya Mwanga haiwezi kuwa wilaya ya Moshi at the same time.Nisawa na kusema Ilala iko temeke.mwanga ya Moshi kaka
mwanga ya Moshi kaka
Nipo mwanga, Chadema Wana mkutano wa hadhara unahytubiwa na Katibu wa Chadema mkoa wa kilimanjaro kamanda Basil Lema, kamanda Kilewo, kamanda Nassari Joshua aliyegombea arumeru mashariki, diwani Nanyaro wa arusha, na kamanda kombe.
My take: hawa jamaa hawchoki na wapo serious sana. Walikuwepo wote igunga juzi tu hawajapumzika Leo wapo mwanga. Kweli hakuna kulala
mwanga ya Moshi kaka
Labda kuna Mwanga mpya, kwani Mwanga ambayo mie bado naifamu si ya Moshi ila iko ndani ya mkoa wa Kilimanjaro, ambayo ni makao makuu ya wilaya ya Same. Moshi ni wilaya na makao makuu ya wilaya ya moshi na makao makuu ya mkoa wa Kilimanjaro.
Nipo mwanga, Chadema Wana mkutano wa hadhara unahytubiwa na Katibu wa Chadema mkoa wa kilimanjaro kamanda Basil Lema, kamanda Kilewo, kamanda Nassari Joshua aliyegombea arumeru mashariki, diwani Nanyaro wa arusha, na kamanda kombe.
My take: hawa jamaa hawchoki na wapo serious sana. Walikuwepo wote igunga juzi tu hawajapumzika Leo wapo mwanga. Kweli hakuna kulala
mwanga ya Moshi kaka
Kweli makamanda nawakubali!! Ila naomba kujua Mwanga iko sehemu gani(fafanua). Na vp raia mwamko wao, wanaonekana kuuchukia wizi na kujitambua au bado wanaitaji elimu ya uraia?(maoni yako mkuu).
Mwanga ni wilaya na moshi ni wilaya
Katika wote Joshua Nassari ni funika bovu.Huyu dogo atafika mbali sana,Mungu aepushie mbali lakini laiti jimbo la Arumeru lingekuwa wazi mbona ingekuwa raha...
Nipo mwanga, Chadema Wana mkutano wa hadhara unahytubiwa na Katibu wa Chadema mkoa wa kilimanjaro kamanda Basil Lema, kamanda Kilewo, kamanda Nassari Joshua aliyegombea arumeru mashariki, diwani Nanyaro wa arusha, na kamanda kombe.
My take: hawa jamaa hawchoki na wapo serious sana. Walikuwepo wote igunga juzi tu hawajapumzika Leo wapo mwanga. Kweli hakuna kulala
Walisema chama cha msimu, sasa wanasema chama cha vurugu!! Najivunia kuwa Chadema.