Hizi hapa update za Babati hapa Kodi akimwaga serawewe mgeni chadema,sera yetu ni ukipewa kula alakini kura yako peleka kwa mahali stahiki na huyo aliekupa usimpe kabisa.akikuvika vaa,alakini kura yako rohoni mwako.hotuba ya mwalimu enzi zake alisema anaekimbilia ikulu ni wakumuogopa zaidi ya ukoma,ikulu alikua anaongelea uongozi,uongozi hauko ikulu tu,akili kumkichwa ndugu..hivi wewe kwa akili yako mtu kama zito ni wakuhongwa kweli na mbunge!!?c'mon guy dnt be cheap like dat.