CHADEMA yafunika Babati

wewe mgeni chadema,sera yetu ni ukipewa kula alakini kura yako peleka kwa mahali stahiki na huyo aliekupa usimpe kabisa.akikuvika vaa,alakini kura yako rohoni mwako.hotuba ya mwalimu enzi zake alisema anaekimbilia ikulu ni wakumuogopa zaidi ya ukoma,ikulu alikua anaongelea uongozi,uongozi hauko ikulu tu,akili kumkichwa ndugu..hivi wewe kwa akili yako mtu kama zito ni wakuhongwa kweli na mbunge!!?c'mon guy dnt be cheap like dat.
Hizi hapa update za Babati hapa Kodi akimwaga sera
 

Attachments

  • IMAG0142.jpg
    IMAG0142.jpg
    270.6 KB · Views: 105
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama
Nilitaka nikutusi....lakini nikaona haitasaidia, ila nimeona kuwa ni wajibu wangu kukuelimisha kuwa usitegemee hii nchi itajengwa na watu toka Kenya ni mimi na wewe unayediriki kupokea rushwa.
 
Tehetehe
Naona kina mama kwa wingi hapo!![
QUOTE=Allien;3780190]
attachment.php
[/QUOTE]
 
Hahahahahahah!!!!!!!!. Umesahau kuwa bado kuna chama kimoja tu hapa Tanzania ambacho kimekuwa na kitaendelea kumpigania mtanzania ili aondokane na wimbi la umaskini. CCM pekee ndio inatakiwa kuaminiwa na watanzania. Achaneni na tuvyama ambato hatuna kichwa wala miguu, vivyama venyewe havina hata ofisi, hivyo mkijichanganya tu mkavipa kura hesabuni maumivu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

Hivi magamba Huwa wanaakili? WANAPOSEMA CHAMA CHAO NI IMARA WANATUMIAGA INDICATOR GANI? Nijuavyo mimi ccm ni maiti iliyo mochuari pale magogoni ambayo mazishi yake ni dec.2015.
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Wachu unaumwa?
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

mmmmmhhh hovyoooooooooooooooooo!!!!!!mav* kunuka
 
2012-04-25_1806.png

Kweye kibox chekundu: Kuna Huyu Mama wa CCM(mwenye kijani) kahudhuria mkutano. Ila inasikitisha sana kuona akificha uso wake mbele ya kamera ili kina MKAMA wasimuone ikawa noma kama ilivyowakuta kina Filikunjombe ana mwenzake wa Mwibara baada ya kutaka Pinda awajibike. Moyo woote uko CDM ila anaogopa viongozi wake.
 
Huyo mama wa CCM alivaa kijani mbona kainamisha kichwa? anajutia kwenda kwenye mkutano wa CDM na nguo ya kijani au?
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

dawa ya rushwa kwa ajili ya kupiga kura, ni kuchukua hiyo rushwa na humpigii aliyekupa rushwa, hivyo ndo walivyofanya wabunge wa chadema kwa kutoa dose , kauli mbiu ya chadema kwa watoa rushwa kwa ajili ya kura ni " kula ccm, kura chadema" hivyo hoja yako haina mashiko
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama


Acha kuwa kilaza wa karne wewe, si lazima uongee kama hauna point kaa pembeni usitupotezee mda na nafasi hapa. Ukimwona mwizi anaiba unamwacha tu aibe ili uje kuongea katika jamiiforum kwamba ulimwona, go to hell! Kama uliona wakipokea rushwa ulishindwa nini kuchukua hatua hapo hapo tena ukawaumbua hata kwa picha tu. Au ndo wewe ulikuwa umetumwa kuwahonga na mwongaji mwenzako J.W.Malicela ikashindikana, sasa mnaanza kujisema wenyewe, Ahaaaaaaaaah!! Magamba bwana, mmebanwa kwelikweli. Mtaisoma!!
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Utakuwa mchawi si bure!
 
ni baada ya mh.NASARI,kuingia katika uwanja wa mpira ambamo wa likua wa kicheza oljoro ya arusha na yanga.kiukweli vijana 2naweza kama 2ki pewa nafasi.
 
Hahahahahahah!!!!!!!!. Umesahau kuwa bado kuna chama kimoja tu hapa Tanzania ambacho kimekuwa na kitaendelea kumpigania mtanzania ili aondokane na wimbi la umaskini. CCM pekee ndio inatakiwa kuaminiwa na watanzania. Achaneni na tuvyama ambato hatuna kichwa wala miguu, vivyama venyewe havina hata ofisi, hivyo mkijichanganya tu mkavipa kura hesabuni maumivu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".

dah imeniuma kusikia hayo maneno 'eti chama ni ccm 2' pole xani
 
Watanzania wenye Mapenzi mema na nchi yetu tuungane pamoja kwa sasa na kumpinga na kumuondoa SHETANI CCM kila nafasi inapopatikana ya kufanya hivyo. Nandhani mnaona hadi watu wa vijijini sasa wameamka.

Wamefisidi sana nchi yetu sasa tusikubali tena waendelee kutuongoza.
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Unapokuwa muongo hakikisha kumbukumbu zako ni sahihi,siku hiyo unayosema lisu alikuwa bado anashughulikia kesi yake huko singinda.
Na kwenye benchi lao alikuwa anakaa Mbowe,Nassari na Zitto....sasa unapokuja na bla bla zako unajidhalilisha tu.
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Wewe acha kuudanganya Umma wa watanzania umetumwa na nani wewe?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom