OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo Wakuu, heshima kwenu.
Katika kutimilika kwa kauli ya "SIKU MJINGA AKIJITAMBUA ,MWELEVU UPO MATATANI " Kwa mara nyingine tena ccm yaendelea kukalia kuti kavu baada ya kugalagazwa leo jioni kwenye chaguzi mbili za serikali za vijiji vya Kalebezo na Magurukemba jimboni Buchosa, kwa Naibu Waziri wa uchukuzi, Dr Tizeba.
Ngoja Nape na Wasira waendelee kubwabwaja huku vijini ccm haipo i.e ilisha kufa kitambo bado kuzikwa tu 2015. Hivi kwa murejesho huu bado mtaji wa ccm vijijini upo? Takwimu ntaweka baadae wakubwa.
M4C MWANZO MWISHO.
Katika kutimilika kwa kauli ya "SIKU MJINGA AKIJITAMBUA ,MWELEVU UPO MATATANI " Kwa mara nyingine tena ccm yaendelea kukalia kuti kavu baada ya kugalagazwa leo jioni kwenye chaguzi mbili za serikali za vijiji vya Kalebezo na Magurukemba jimboni Buchosa, kwa Naibu Waziri wa uchukuzi, Dr Tizeba.
Ngoja Nape na Wasira waendelee kubwabwaja huku vijini ccm haipo i.e ilisha kufa kitambo bado kuzikwa tu 2015. Hivi kwa murejesho huu bado mtaji wa ccm vijijini upo? Takwimu ntaweka baadae wakubwa.
M4C MWANZO MWISHO.