Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudandia pipe kwa mbele wewe shushushu mwenyewe, mijitu mingine bwana utadhani umeulizwa weweacha kujifanya shushushu wewe.
Ndo wanavyoipa CDM promokwa hiyo mtu siku hizi akisimamia haki tu anaonekana kanunuliwa na cdm?
Maalim kapata alichokitamani siku nyingi. Lipumba ndani ya CUF sasa ni kama IkemefunaMwacheni ajaribu , ana uchungu kwamba CUF na hasa Maalim hajasema lolote Mbunge wao wa Bara anako toka Lipumba kadhalilishwa na CCM na JK na Maalimu wako kimya . Mwache amke sasa
hujasoma sredi yote.
Mimi nimeomba details kamili as hilo gazeti nasikia likichambuliwa msikiti wa jirani na home, mimi siwezi soma hilo gazeti.
Comments za Lipumba ni my perception na sio kulingana na analyisis za upupu wa hilo gazeti
msikiti unachambua gazeti?? eenh?
Hahaahaah ! Hatimaye nimecheka , Eti CuF ni chama cha majuha , eti wanampiga vita Prof, ili wajitawale kijuha ! Daah i love Jf.
How dare you read such tabloid?Wana JF nawasalimKatika pita pita yangu asubuhi nimeona hii tittle Chadema yadaiwa kumnunua Prof. Lipumbahili gazeti ni pro-CUF+CCM sasa hii inaashiria Lipumba anaanza kuandamwa ndani ya CUFKwa wale wanaolisomaga hebu tupeni details au kwa wale wanahudhuria mhadhara wa manzese kwa bakresa tujulisheni My take:CUF haitakiwi iongozwe na mtu msomi wa kiwango cha Lipumba. Lipumba is so much educated to associate him self na waandishi majuha wa gazeti la HOJA watamwangushaLipumba analazimika kuongea urojo for sometimes ili asikalie kuti manake wale wanachama wa CUF uelewawao bora hata Wafuasi wa Mtikila