Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
walimu wako wana kazi kweli kweli !!!!!!!!!you can not mediate or generalise reflection of reality and you have to study hard may be you will be able to analyse and synthesize thought derives from practical activityuzoefu gani uliokuwa nao wewe? Na wakati wewe ni mtoto wa juzi tu?ulikuwa manii na utakuwa mzoga kesho kutwa?unajidai kuwa una busara sana kumbe ni chui alievaa ngozi ya kondoo.sie uislamu ndio mfumo wetu wa maisha na tunapaswa kuutekeleza kila pahala na maneno yako yanapingana na aliekuumba."eti mwisho wenu utakuwa mbaya" jitambue ndugu yangu, upo chuo wewe!sio nyie dini yenu mnamuabudu mungu kama mnakwenda pikiniki {wiki mara moja}mnajifanya wachamungu wakubwa but mkiwa kanisani tu mkitoka nje. Tunaomba ardhi ipasuke tuingie kwa mnayoyafanya.