CHADEMA yachukua uongozi udom

Nadhani huyo cjui apoly hajui maana ya neno chuo kikuu kwa kiswahili. Nadhani mnabidi wote wanaoishiriki humu tuanzakujifunza masomo ya falsafa pia. Kama hujui kuwa kila mwanadamu kwa asili ni mwanasiasa basi ujitoe humu, manake tutakuwa tunasoma vichefuchefu, nadhani tumekuwa tukitoka nje ya mstari. Sheria ya chuo inasemaje? Kama kuna baraza la chuo ambalo wanafunzi wanapaswa kuwakilishwa watapatikanaje? Nadhani hajawahi kuwa mwachuo mtu atakayepiga mtu kugombea uongozi wa wanafunzi?
Je Mzee Kilkwete angefahamika wapi isingekuwa kujijenga ama akina Sita, Labda Kitila Mkumbo anaweza kuwaambia washiriki umuhimu wa kuwa kiongozi, hususani vyuoni.
 
nawapongeza sana na vijana wengine hakikisheni uongozi wa vyuo unashikwa na peoples power
 
Wapendwa watanzania wenzangu napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha ya kuwa, Chuo kikuu cha Dodoma kimempata Raisi ambaye ni jembe(chadema) kukiongoza tena kwa kipindi kingine cha mwaka mmoja. tunafahamu ccm ilitumia mamilioni ya shilingi kufanikisha lakini nguvu ya umma ime play part.

Mkuu vyama vingapi vilisimamisha mgombea Urais? Kumbukumbu zangu hazionyeshi kwamba Urais wa vyuo huwa unatokana na chama fulani sasa inakuwaje unatutangazia kwamba Rais wa UDOM ni wa CHADEMA?
 
Upuuzi mtupu,soma shule wewe maisha huyajui huku nje.Huyo kiongozi wako na usajili wa chama chako hapo chuo,unamsaada gani kwetu ama kwa Watanzania zaidi ya milioni 46?atapunguza bei ya bidhaa?.Zingatia masomo,uje uokoe Taifa vinginevyo utalamba disco na siasa zako ukingoni.

sidhani hata kam una cheti chochote zaidi ya kujua kutumia simu na internrt, unajuwa kudisco wewe? wansiasa wazuri hasa wa CDM huwa tunawaandalia vyuo vikuu, bahati mbaya wewe hupajui zaidi ya kuona majengo na kusikia
 
Hivi nyie si mshakatazwa kuchanganya siasa na elimu.
Hujawahi kujiuliza kama lengo la serikali ni kutenganisha "siasa" na "elimu/uongozi" kwa nini kuna kozi kama political science and public administration(PSPA) vyuoni?,au wewe ukisikia jambo unalifuata tu bila kuhoji chochote?

Siasa tafsiri yake ni maisha ya mwanadamu!!,yeyote anayeikana siasa anayakataa maisha yake mwenyewe!
 
Hujawahi kujiuliza kama lengo la serikali ni kutenganisha "siasa" na "elimu/uongozi" kwa nini kuna kozi kama political science and public administration(PSPA) vyuoni?,au wewe ukisikia jambo unalifuata tu bila kuhoji chochote?

Siasa tafsiri yake ni maisha ya mwanadamu!!,yeyote anayeikana siasa anayakataa maisha yake mwenyewe!

nipe umuhimu wa chadema na sisiem kwa vyuoni.
 
waambie wanaokataza waondoe political science vyuoni
au wanadhani wanafundishwa kwenda kua waosha vyombo?

siasa lazima ifundishwe watu wajue. Mtoa mada ameshabikia vyama.
Kama ndio hvyo hao wanaofundishwa PS Waanze kuunda vyama vyao vya siasa sasa.
 
we mrembo nani kasema? Kwanza siasa ufundishwa huko huko. Alaf kuna vitu vinaitwa training,field n.k sasa nani kakataza siasa/elimu ktk vyuo vya elimu?

we handsome boy hebu rudia tena kuisoma thread utagundua mtoa mada hazungumzii siasa bali vyama.
 
Wapendwa watanzania wenzangu napenda kuchukua fursa hii kuwajulisha ya kuwa, Chuo kikuu cha Dodoma kimempata Raisi ambaye ni jembe(chadema) kukiongoza tena kwa kipindi kingine cha mwaka mmoja. tunafahamu ccm ilitumia mamilioni ya shilingi kufanikisha lakini nguvu ya umma ime play part.
<br />
<br />
 
Bado sio msaada kwa watanzania wasiojua kesho yao,matangazo kama haya mngekuwa mnayaweka kwenye Facebook mkutane na watoto wenzenu wenye elemu ya kiasi,ambayo inasadifu uelewa finyu wa kikundi kama CHADEMA,Itawasaidia sana,let we rethnk jamiiforum as the Home of great thnkers.
 
NINYI WENYEWE MLILETA HABARI YA UCHAGUZI WA UDOM KUGUBIKWA NA UDINI.....NA MKRISTO ALISHINDA....!
JE CHADEMA NI CHAMA CHA KIDINI...?
Au mliteleza kutuhabarisha? tena mlikuwa mkishangilia...."BWANA ASIFIWEEEE"
WEKENI SAWA HILO.

WATANZANIA HAWAJALALA, WAPO WANAONA HILA ZENU NA WANA ZITAMBUA VIZURI SANA.
 
Udom sasa udini waziwazi
Kama ni udini kuitafuna nchi basi serikali ifike haraka UDOM na imalize hili kabla mambo hayajaharibika.Katika uchaguzi ulofanyika chuoni hapa wa serikali ya wanafunzi,tume ya uchaguzi ilipitisha wagombea kwa kupendelea waislam, kila idara.Baada ya hapo hali iliendelea kuchafuka maana siku ya Alhamis usiku wanaharakati chuoni hapa walinasa waraka uliokuwa umeandikwa na waislam wakihimizana kuwa siku ya jana wapge kura wote ili wakiongoze chuo chao(ulisema waraka).Baada ya waraka huo kuonekana huku chuo cha elimu zilianza vurumahi na zikapelekea mwanafunzi mmoja mkiristo kupigwa hadi kushonwa nyuzi nane kichwani.Yote tisa,kumi ilikuwa jana siku siku ya uchaguzi maana kura zimepgwa kidini bila kujali uwezo wa watu maana watu walienda kuchagua kwa kuangalia majina tu,na wakristo licha ya kuteuliwa wachache wote wamepita.Lakini baada ya matokeo kutangazwa wakristo walishangilia kwa pambio za dini hata matokeo yalipokuwa yanatangazwa,mkiristo akitangazwa waliitikia "BWANA ASIFIWE" na mwislam walisema "takbir huyo ni wako"wakimwambia bwana ASALI ISAH ambaye ni mkurugenzi wa tume
Ngazi ya shirikisho yaani rais wa chuo kizima walikuwa wagombea wawili baada ya mmoja "kujiDovutwa"(kujitoa)mida ya mwisho,wagombea hao walikuwa ni :
1.ABUBAKAR BASHE mdogo wake na H.BASHE ila wana udom kama walivyomwambia kuwa yeye ni Rostam group wamempiga chini tena kwa kishindo,pale maskini uccm umemponza maana Udom ya leo na CCM ni maadui
2.GABRIEL DEBORA dada hasiye na jina kabisa ila ndiye kachaguliwa kwa kishindo

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/132967-udom-sasa-udini-waziwazi-2.html
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom