MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Neno kijiji kizima ni zito hebu tuambie hadi watoto wa chini ya miaka 18 nao wamo?
Kijiji kina watu wangapi hadi ukajua kwamba wote wamehamia CHADEMA?
Tuwe macho kuongeza chumvi nyingi hata kama habari ni ya kweli inaharibika
Kijiji kina watu wangapi hadi ukajua kwamba wote wamehamia CHADEMA?
Tuwe macho kuongeza chumvi nyingi hata kama habari ni ya kweli inaharibika