OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Kuweni makini na matumizi CHADEMA, maana kuna majimbo yatakuwa wazi muda si mrefu. Segerea ni moja, Muheza wanapelekana mahakamani na sasa tunasikia Kibaha kuna mtu anataka kuachana na siasa uchwara. bana matumizi.
CDM kina mtaji mkubwa wa wanachama wake wanakipa support kubwa sana kukomboa nchi usiwe na shaka kuwa tayari kutoa chochote katika saa hii ya ukombozi,.