Chadema yaandaa maandamano kupinga bei mpya ya umeme

atoke hapa huyu jamaa eti ajiite great thinker! kipi cha kujadili hapo sasa? mi hata siendelei, naishia hapo.
 
Yanatafutiwa ufumbuzi. Hayo ni matokeo ya maendeleo yaliyopigwa na Watanzania ndo maana barabara hazitoshi, kila mtu anajua.

Yataisha mkiacha ufisadi, mkiacha kuchakachua, mkiacha kubaka demokrasia, na mengine mengi.

Hahaahhhaaa, eeeh tunayatafutia ufumbuzi, tunayafinyia kazi, upembuzi yakinifu, tunaupatia muarobani, tunafanyia mchakato, mkandarasi anatafutwa, na mengineyo mengi ndio kauli zenu za kila siku.
 
Maandamano si utamaduni wa Mtanzania, tuache kuiga mambo ambayo tutakuja kujuta baadaye.
Kujenga hoja na kufikia Maridhiano ndio utaratibu wetu.

Kuandamana sio FASHION watu hawafanyi maandamano ili kuuza sura au sababu wanapenda..... watu wamechoka kunyonywa..... Kwahiyo inabidi kutumia njia zote ili kusikilizwa... kwa vile njia nyingine zote zimekuwa zikigonga ukuta inabidi kutackle matatizo in different angles.... viongozi tumewachagua ili watutumikie sisi (umeme umepanda na EWURA wanadai kwamba wananchi walishilikishwa)... kwahiyo maandamano ni protest kuonyesha kuwa wanayofanya wachache wengi hatukubaliana nacho..... Uganda leo tu wametangaza kutoa ruzuku kwa shirika lao la umeme ili kuwapunguzia gharama wananchi kipindi hiki cha sikukuu sisi kodi zetu zinatumika kununua mashangingi..... Bajeti Trillioni 7 zinatumika kuendeshea serikali wakati huduma za jamii ni Trillioni 3 (HIVI KWELI WEWE HUJUI HAYA AU UNAJUA UNATAKA TU KUPOTEZA MUDA WETU HAPA.... KAMA KWELI HUJUI HAKUNA NENO I WILL INVEST MY TIME KUKUJUZA)
 
its all crap! CDM badala ya kuwa chama cha kusimamia mambo ya ki-sera imegeuka pressure group hayo wanayodai ni kazi ya wanaharakati kina mama nkya though taasisi yake ni branch ya CDM she and her company are better placed to do that au waambieni wanafunzi wa vyuo vikuu wawasaidie kwa hilo kama mnavyo jificha nyuma yao kila siku. shame on you!

in fact mmekua madalali wazuri kwa kuuza magazeti. Kila kukicha CDM wamefanya hiki CDM watafanya kile......Mbowe kafanya hiki Slaaaa Bla blaaaaa. ni vizuri kwa wenye magazeti kuuza lakini infact it has become too monotonous .... try something for a change!!!
 
Bado natafuta jibu, yatakoma lini?
Dunia inatucheka ati, wengine wanatumia muda wao vizuri wakati sisi tunarudishwa nyuma na wanasiasa uchwara.

YYatakoma pale Serikali ya Kifisadi ya Chama tawala itakapoondolewa madarakani!!!!! Tumechoka... tumechoka..... tumechokaaaaaa!!!!! Better dying standing than living on our knees!!!!!
 
Kama una hoja itoe hapa, acha lugha chafu.

Who showed this blog mkuu? ni kweli kama hujui ni kwa nini wanataka kufanya maandamano? ni kweli pia hujajua kama hiyo bei ya umeme imepanda wakati kipato kipo palepale na hasa kwa sisi walimu na wachovu wenzetu? ngoja nikupe mnyumbulisho kiduchu. umeme 10000, maji elfu 7000, house maid elfu 30 au 68. pango chumba na sebule 150000. chakula kwa kujinyima na familia 100000. usafiri if any 40000. nk. hakuna haja ya kuandamana? unaweza sema unataka watu wachange au kwa kutumia lugha nyingine yoyote but kama wewe ni upande ule mwingine ujue kuanzia leo kama change begins with you mkuu. unaweza kuwa unao uwezo lakinh kama systems zetu zingekuwa bora zaidi ungekuwa na uwezo zaidi. tatizo la waswahili hatupigi hesabu ndo maana kila siku hatuna kitu. unaona kama ongezeko la umeme sh 11 ni ndogo. piga kwa uni 100 kwa wateja wote wa tnsc wa ngazi hiyo then mara mwaka ambao ni 12 miezi then upate jibu.
 
Yanatafutiwa ufumbuzi. Hayo ni matokeo ya maendeleo yaliyopigwa na Watanzania ndo maana barabara hazitoshi, kila mtu anajua.

Achana na hizo hadithi za 'uvumbuzi', we all know how it is going down..

Hoja hapo ni nayo hayo ni maandamano au la?
 
Watanzania wamemaliza uchaguzi wao wa 2010 kwa mafanikio, amani na utulivu.
Serikali ya Rais Mteule inaendelea kuchapa kazi ili kutimiza yale yaliyoahidiwa kwa wa Tz.

Jambo linalosikitisha ni mtindo wa Chama Kikuu cha Upinzani kutafuta kila aina ya kisingizio cha kuhamasisha maandamano, na wakati mwingine kudai yatakuwa ya nchi nzima.

Visingizio vya kipuuzi vya kufanya maandamano haya ni pamoja na:

Kupanda kwa bei ya umeme,
Kuwepo kwa mgao wa umeme,
Kupigwa kwa mbunge wao aliyekuwa anaonyeshana ubabe na Polisi,
na mambo mengine ya kitoto.

Kwa nini viongozi wa chama hiki wasitumie njia mbadala ya kufikisha ujumbe kule walikokusudia? Au ndio uvivu wa kufikiri?

Maandamano hayana tija kwa nchi yetu zaidi ya kuwazuia Polisi kutimiza majukumu yao ya kimsingi. Viongozi makini wa siasa wenye uchungu na nchi yao hawawezi kufanya mambo kama haya yanayorudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Wakati umefika wa kuachana na siasa za kitoto.


Nina uhakika kabisaa wewee ni kilaza wa kufa, tena una bahati sana, leo AK-47 yangu ingefanya kazii, endelea kubahatisha tuu lakini ipo siku utanasa
 
Wewe ni mtanzania au umeupata kwa kuomba pale immigration? babu nakutafuta nianzie wapi......
 
YOU NEED TO SHAKE YOUR BRAIN..............

 
Last edited by a moderator:
Chadema wamejaa utoto! Sijui kwa nini wameshindwa kujifunza kwa ile CUF ya 1995-2005...
 
Watanzania wamemaliza uchaguzi wao wa 2010 kwa mafanikio, amani na utulivu.
Serikali ya Rais Mteule inaendelea kuchapa kazi ili kutimiza yale yaliyoahidiwa kwa wa Tz.

Jambo linalosikitisha ni mtindo wa Chama Kikuu cha Upinzani kutafuta kila aina ya kisingizio cha kuhamasisha maandamano, na wakati mwingine kudai yatakuwa ya nchi nzima.

Visingizio vya kipuuzi vya kufanya maandamano haya ni pamoja na:

Kupanda kwa bei ya umeme,
Kuwepo kwa mgao wa umeme,
Kupigwa kwa mbunge wao aliyekuwa anaonyeshana ubabe na Polisi,
na mambo mengine ya kitoto.

Kwa nini viongozi wa chama hiki wasitumie njia mbadala ya kufikisha ujumbe kule walikokusudia? Au ndio uvivu wa kufikiri?

Maandamano hayana tija kwa nchi yetu zaidi ya kuwazuia Polisi kutimiza majukumu yao ya kimsingi. Viongozi makini wa siasa wenye uchungu na nchi yao hawawezi kufanya mambo kama haya yanayorudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Wakati umefika wa kuachana na siasa za kitoto.
Siku mkiacha mambo ya kitoto na ya kipuuzi, maandamano kwishney
 
its all crap! CDM badala ya kuwa chama cha kusimamia mambo ya ki-sera imegeuka pressure group hayo wanayodai ni kazi ya wanaharakati kina mama nkya though taasisi yake ni branch ya CDM she and her company are better placed to do that au waambieni wanafunzi wa vyuo vikuu wawasaidie kwa hilo kama mnavyo jificha nyuma yao kila siku. shame on you!

in fact mmekua madalali wazuri kwa kuuza magazeti. Kila kukicha CDM wamefanya hiki CDM watafanya kile......Mbowe kafanya hiki Slaaaa Bla blaaaaa. ni vizuri kwa wenye magazeti kuuza lakini infact it has become too monotonous .... try something for a change!!!

Profile yako inaonyesha umejiunga Leo..sio mbaya keep it up
 
Who showed this blog mkuu? ni kweli kama hujui ni kwa nini wanataka kufanya maandamano? ni kweli pia hujajua kama hiyo bei ya umeme imepanda wakati kipato kipo palepale na hasa kwa sisi walimu na wachovu wenzetu? ngoja nikupe mnyumbulisho kiduchu. umeme 10000, maji elfu 7000, house maid elfu 30 au 68. pango chumba na sebule 150000. chakula kwa kujinyima na familia 100000. usafiri if any 40000. nk. hakuna haja ya kuandamana? unaweza sema unataka watu wachange au kwa kutumia lugha nyingine yoyote but kama wewe ni upande ule mwingine ujue kuanzia leo kama change begins with you mkuu. unaweza kuwa unao uwezo lakinh kama systems zetu zingekuwa bora zaidi ungekuwa na uwezo zaidi. tatizo la waswahili hatupigi hesabu ndo maana kila siku hatuna kitu. unaona kama ongezeko la umeme sh 11 ni ndogo. piga kwa uni 100 kwa wateja wote wa tnsc wa ngazi hiyo then mara mwaka ambao ni 12 miezi then upate jibu.

Mwambie ukweli, manake anavyoongea utadhani mwenzetu haishi nchi hii! kwa kweli maisha yanazidi tu kuwa tishio kadri siku zinavyoenda. Na inatugusa sana sisi walimu na wananchi wengine wenye hali ya chini kama sisi
 
Chadema wamejaa utoto! Sijui kwa nini wameshindwa kujifunza kwa ile CUF ya 1995-2005...

Ukubwa au Utoto wa Chadema sioni kama ni issue hapa.... The issue at hand ni kwamba Umeme umepanda na wananchi tuna haki ya kupinga hayo.... hata kama maandamo yangeanzishwa na NCCR; TLP, ROSTAM AZIZ, hata wewe mkuu ungeitisha maandamo... watu tungekubali.. Tuacheni ushabiki kwenye serious issues
 
Yanatafutiwa ufumbuzi. Hayo ni matokeo ya maendeleo yaliyopigwa na Watanzania ndo maana barabara hazitoshi, kila mtu anajua.

Duh! Wana JF, kumbe huyu mzee mzima huyu naye yumo humu JF! maana ndiye aliyewahi kusema watanzania wameendelea kila mtu ana gari ndo maana high traffic jam!
 
Watanzania wamemaliza uchaguzi wao wa 2010 kwa mafanikio, amani na utulivu.
Serikali ya Rais Mteule inaendelea kuchapa kazi ili kutimiza yale yaliyoahidiwa kwa wa Tz.

Jambo linalosikitisha ni mtindo wa Chama Kikuu cha Upinzani kutafuta kila aina ya kisingizio cha kuhamasisha maandamano, na wakati mwingine kudai yatakuwa ya nchi nzima.

Visingizio vya kipuuzi vya kufanya maandamano haya ni pamoja na:

Kupanda kwa bei ya umeme,
Kuwepo kwa mgao wa umeme,
Kupigwa kwa mbunge wao aliyekuwa anaonyeshana ubabe na Polisi,
na mambo mengine ya kitoto.

Kwa nini viongozi wa chama hiki wasitumie njia mbadala ya kufikisha ujumbe kule walikokusudia? Au ndio uvivu wa kufikiri?

Maandamano hayana tija kwa nchi yetu zaidi ya kuwazuia Polisi kutimiza majukumu yao ya kimsingi. Viongozi makini wa siasa wenye uchungu na nchi yao hawawezi kufanya mambo kama haya yanayorudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Wakati umefika wa kuachana na siasa za kitoto.

Ni kweli kuwa akili ni nywele kila mtu ana zake. Of course nywele nazo ziko za aina nyingi.
 
Maandamano si utamaduni wa Mtanzania, tuache kuiga mambo ambayo tutakuja kujuta baadaye.
Kujenga hoja na kufikia Maridhiano ndio utaratibu wetu.

Utamaduni wa mtanzania ni upi? kuchekelea rasilimali za Taifa zinapochezewa? Kukubali kila kitu tunachobambikizwa? We unaweza kujenga hoja na kufikia maridhiano unapoibiwa na kudhulumiwa? Huo ni utamaduni wa kwenu sio wa watanzania.
 
Back
Top Bottom