Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TENDWA: asema malalamiko ya vyama vya siasa atayatolea majibu baada ya kikao cha bajeti kumalizika july 16 asema ya kuwa anaushahidi wa kweli kuhusu malalamiko ya baadhi ya wabunge wanavyo fanya rafu kwenye majimbo so atawaengua mapema na kuviarifu vyama vyao visiwateueCCM walikuwa wakifanya hujuma gani Kilewo? lete habari zaidi
Mwandishi asiyeyumba.
Magezi, kwa vile mimini mfuatiliaji, naelewa kila game la wizi wa kura, na aliyetangaza ushindi wa Chadema kule Busanda na Biharamulo humu JF ni mimi na kilichotokea sote tunakijua.
Kwa vile uchaguzi unaandaliwa na NEC, hivyo kuripoti facts ni muhimu hata kama hiyo NEC inafanya kazi on behalf of CCM. Sio kwamba sielewi kuwa the political playing field is not level, bali habari za kuhamanika kisiasa zinaweza kuhamasisha vurugu, kumbe hakuna kitu, kama siku ile Lipumba alipovamia bohari kuu kuzuia uteketezaji wa vitambulisho vya kupigia kura akijiaminisha vilitayarishiwa mamluki wa CCM, watu wenye hasira wangeweza vamia enea husika na kusababisha maafa.
ni baadhi ya watu wanao sadikika kuwa ni wafuasi wa ccm wamekutwa wakiendelea kuandikisha watu kwenye daftari la kudumu la wapiga kura mitaa ya mbezi hapa kwenye jimbo la ubungo
fact V\S uvumiAsante Kilewo, la muhimu report facts, usiconclude ni CCM unless wamekutwa ofisi ya CCM. Kunapotokea uhalifu, wahalifu wanakuwa ni wahalifu tuu regardles ni wafuasi wa chama gani, ikitokea mwizi wa kuku ni mwanachama wa Chadema, hatutaripoti Chadema wezi wa kuku, tutaripoti kuhusu mwizi wa kuku ambaye ni mshabiki wa Chadema, hapa nazungumzia facts, itikadi za chama weke pembeni, hii issue ni very serious!.